Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Ila Mrusi nae anapenda kuonyesha mabavu
Halafu Putin is there to stay na hawatamfanya kituKwa kweli bila Mrusi hawa wazungu wangezidi sana
Acha awaonyeshe kuwa nae ni mbabe
Walifanya mbinu wakaisambaratisha na kugawa Urusi ile ya zamani wakadhani kaisha
Ila Putin kiboko [emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hii kali
Halafu Putin is there to stay na hawatamfanya kitu
Wamesahau how those vodka lovers stood their ground kwenye ile battle of Stalingrad in ww 2,,, they are fckn patriot yaaani russian are deeply in love with mother russia,,they fight with all their hearts,,,sasa huku USA washaanza kuleta habari za LGBTQ na lowering standard for special groups kwenye militaryHalafu Putin is there to stay na hawatamfanya kitu
na ile statue yao ya ku-commemorate wanajeshi katika hiyo battle ya Stalingrad , inajina la kibabe/kizalendo sanaWamesahau how those vodka lovers stood their ground kwenye ile battle of Stalingrad in ww 2,,, they are fckn patriot yaaani russian are deeply in love with mother russia,,they fight with all their hearts,,,sasa huku USA washaanza kuleta habari za LGBTQ na lowering standard for special groups kwenye military
Wamerakani wanatafuta usawa sehemu ambazo haiitaji kabisa mambo ya usawa. Kuna muda makundi ya usawa yalikuwa yanataka kuwalazimisha washushe entry requirements kwa special forces kuanzia police mpaka special commands. Police wakashusha, Special commands wakagoma, wakawaambia wanawake watabaki kwenye supporting roles tu kwa groups kama S.E.A.Ls, Detachment Delta, Green Berets etc, with exception ya "Night Stalkers"(160th Special Operations Aviation Regiment, aka night stalkers,) ambako pia lazima wazidi zile entry requirements.Wamesahau how those vodka lovers stood their ground kwenye ile battle of Stalingrad in ww 2,,, they are fckn patriot yaaani russian are deeply in love with mother russia,,they fight with all their hearts,,,sasa huku USA washaanza kuleta habari za LGBTQ na lowering standard for special groups kwenye military
Mwenyewe nmesoma title, nikaona na umeniita nikajua tu hapa kuna vitu flani hivi vile karucee anapenda.....nakutana na vitu gani sijui 🙄🙄aaah mi napita zangu fasta najua nitakutana na body pendwa nakutana na silaha za vita.
Mtoa mada nimekukosea nini mie Karucee hebu weka wanajeshi Wewee. Weusi wenye body za kueleweka na wameenda hewani. Kwani hayo magari ya kivita sijui vifaru vinajiendesha vyenyewe?
cc Evelyn Salt
siku hizi mataifa yenye nguvu kila mmoja anataka awe juuMaandalizi ya Mrusi kwa Ukraine
View attachment 2101052
View attachment 2101053
View attachment 2101054
Silaha mpya mrusi anataka kuzijaribu kuonyesha nguvu yake
Putin ni mbishi yule jamaa kama yule mkorea KimKwa kweli bila Mrusi hawa wazungu wangezidi sana
Acha awaonyeshe kuwa nae ni mbabe
Walifanya mbinu wakaisambaratisha na kugawa Urusi ile ya zamani wakadhani kaisha
Ila Putin kiboko [emoji23]
ujue hakuna Taifa ambalo linataka kuonekana dhaifu na hakuna kitu kinawaboa mataifa mengi kama Mmarekan kujiona yeye jupo juu kuliko wengine
Umewah kusikia hata national anthem lake,,,, yaaani ni ubabe juu ya ubabena ile statue yao ya ku-commemorate wanajeshi katika hiyo battle ya Stalingrad , inajina la kibabe/kizalendo sana
"The Motherland Calls"