""the worst is yet to come"" hatari sanadas dicke Ende kommt noch the worst is yet to come
Hii iliitwa devil's brigade formed under the alliance of us and canada,,, commando wa kwanza kabisa,, these mofo were stealthy as fck,,, trained to use knives and hand to hand combat,,, walikuwa nightmares to fuhrer soldier,,, walikuwa wanachinja then wanacha maneno haya kwa kijerumani "das dicke Ende kommt noch" meaning that the worst is yet to come
World war 2 hyoView attachment 2102340
It takes a good person skilled in violence,, to defeat the evil one,,, kama umesoma na kuijua vita kuu ya 2 ya dunia basi utajua why wana silaha HiziUtashangaa na kujiuliza, ... Hivi silaha zote hizi zinatengenezwa kwa ajili ya kujilinda kama Nchi kweli? Aina hizi za silaha zenye kuangamiza zimetapakaa karibu kila Nchi duniani. Hata Tanzania ninaziona huwa wanazionesha. Zipo!
Sasa, ni wazi kabisa kwa sasa, kwa Maendeleo makubwa haya ya silaha, Ni vigumu Nchi kupigana vita akaibuka mshindi juu ya Nchi nyingine. Kabla ya vita ya II ya Dunia Wajapani waliokuwa wakifikiri ndio vidume wa vita Duniani. Mmarekani alipopiga Hiroshima na Nagasaki, wakakiri ule usemi wa waungwana, kuwa, ... Avumae baharini Ni papa, ... kumbe, ...! Kichapo kile kiliwafanya wagundue kuwa, ... Kumbe vita haina maana yoyote kwa maendeleo na ustawi wa Dunia. Hawataki vita tena hata leo. Wajerumani hali kadhalika.
Concern yangu ni hii:
Silaha hizi zinazoundwa kila leo, Si kwa ajili ya vita vya wanadamu, Bali, shetani-ibilisi anajidanganya kwa kuwahimiza wanadamu kuziunda kwa ajili ya Vita kuu kabisa ambayo Mwenyezi Mungu kupitia Mwanae pekee Bwana Yesu Kristo ambaye alitufunulia ufunuo huu kupitia Mtumishi wake mtume Yohana ktk visiwa vya Patmos, vita ya Armageddon. Angalia Biblia Takatifu ktk kitabu cha ufunuo wa Yohana sura ya 16.
Kwa jumla wanadamu tujiandae. Bwana Yesu Kristo yuko karibu mno kuja kulichukuwa Kanisa lake. Muda umekwisha. Ndugu yangu OKOKA kwani wakati uliokubalika ndio sasa.
toa shule apate kuelewa JF ni sehemu ya kueleweshana ,kuelemishana na kupeana habari.It takes a good person skilled in violence,, to defeat the evil one,,, kama umesoma na kuijua vita kuu ya 2 ya dunia basi utajua why wana silaha Hizi
Nkipata muda mkuu ntaandika kwanini watu hutumia budget kubwa kwenye ulinzitoa shule apate kuelewa JF ni sehemu ya kueleweshana ,kuelemishana na kupeana habari.
Hivi unajua kuwa wajamaa wanatumia mahela mengi sana kwenye hizi mambo wakat kuna mataifa watu wanakufa njaa huko[emoji848][emoji848]