Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakika🪖 Snipers ni watu hatari sana hawa jamaa kama majini vile humuoni yeye anakuona anakulia tu timing ukajaa umoo 🪖View attachment 2118533View attachment 2118535View attachment 2118538View attachment 2118539
Hivi huwa wanawajaza nini akilini na moyoni, wale jamaa wana roho ngumu sana aisee.. wengine watoto wadogo kabisawale jamaa hata peku fresh tuu
kama umeitazama movie ya Dirty Diamond kijiji kilivamiwa huko freetown dogo akachukuliwa na kwenda kupewa mafunzo ya kigaidi ikabidi baba ake aingie mzigoni kumtafuta utakua na idea,wanakuwa brain washed,wanaaminishwa ugaidi ndio jambo pekee sahihiHivi huwa wanawajaza nini akilini na moyoni, wale jamaa wana roho ngumu sana aisee.. wengine watoto wadogo kabisa
Blood Diamond sio dirty chiefkama umeitazama movie ya Dirty Diamond kijiji kilivamiwa huko freetown dogo akachukuliwa na kwenda kupewa mafunzo ya kigaidi ikabidi baba ake aingie mzigoni kumtafuta utakua na idea,wanakuwa brain washed,wanaaminishwa ugaidi ndio jambo pekee sahihi
ndio,hiyo hiyo, umri nao umeenda sana mkuu😅Blood Diamond sio dirty chief
Hivi kuna dirty diamond na blood diamond?kama umeitazama movie ya Dirty Diamond kijiji kilivamiwa huko freetown dogo akachukuliwa na kwenda kupewa mafunzo ya kigaidi ikabidi baba ake aingie mzigoni kumtafuta utakua na idea,wanakuwa brain washed,wanaaminishwa ugaidi ndio jambo pekee sahihi
Binadamu ni kitu kingine
Trained in the art of camouflage [emoji144]Kama snipers hawa ni vigumu kuwaonaView attachment 2118726
ni Blood Diamond,baby si unajua umri unanitupa mkono hadi nasahauHivi kuna dirty diamond na blood diamond?
Ok, kesho ntakuwa maeneo ya town haponi Blood Diamond,baby si unajua umri unanitupa mkono hadi nasahau