Military police (MP)

Military police (MP)

Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,

Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
That means una dan?

"Hatikvah"
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hilo doso liliingia kisawa sawa
usinikumbushe hio kambi ya hapo uhasibu kuna siku zamani wakati nipo TIA apo niliingia kwenye supermarket yao ya jeshi pale nimevaa kata K kulikua ni kipindi cha mvua mvua kwakweli sitasahau yaliyonikuta wanajeshi sisi sio adui zenu sisi ni raia tu adhabu zenu zinawafaa nyie sio sisi raia

sikuingia class vipindi karibu wiki nzima na nilipata kichomi ugonjwa ambao sikua nimewahi kupata tangu nimezaliwa

Sent using Jamii Forums mobile app

"Hatikvah"
 
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!
...katika nyanja za kijeahi kuna intelligensia mtu anaweza kujifanya kapotea njia anakatiza kwenye kambi ya jeshi kumbe kuna taarifa anatafuta.. Ukimkamata na kumpeleka police atatoa 10,000 watamwachia kesho atakuja tena au atakuja mwingine! Hapo baada ya mwaka watakua wamepata taarifa kiasi flani wanachotaka!
Dawa ni kuhakikisha hakatizi mtu asiyehusika na hapo ndo panapokuja ile neno DOSO au adhabu za kijeshi maana ukienda kipolice police kule ni hela tuu na kama ni misheni imepangwa lazima ikamilike
Shida ya polisi na wanajeshi ya bongo ndio hiyo!! Wanafanya kazi kihisia zaidi kuliko uhaisia, ndio maaana uchunguzi/upelelezi wa kibabaishaji sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,

Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuweke sparing nione kama uko fiti kweli
 
Hah
mimi ni muhanga wa hili...
nilimkung'uta mmoja bila kujua kama ni soja mwenye nyota moja..
akaenda kambini akarudi na MP 7 na mmoja alikuwa na SMG...
kilichofuatia naomba niishie hapa.
Ahahaaaaaaa pole sana
 
Ni ubabe tu mkuu,wale ma MP ni kwa ajili ya wanajeshi wanspoharibu kazi wanawapeleka huko wanakula tifu la kutosha.

Ndyo maana hakuna raia atakayehukumiwa katika mahakama za jeshi.jeshi na raia hakuna uhusiano.

Hayo mambo ni ya polisi.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!
...katika nyanja za kijeahi kuna intelligensia mtu anaweza kujifanya kapotea njia anakatiza kwenye kambi ya jeshi kumbe kuna taarifa anatafuta.. Ukimkamata na kumpeleka police atatoa 10,000 watamwachia kesho atakuja tena au atakuja mwingine! Hapo baada ya mwaka watakua wamepata taarifa kiasi flani wanachotaka!
Dawa ni kuhakikisha hakatizi mtu asiyehusika na hapo ndo panapokuja ile neno DOSO au adhabu za kijeshi maana ukienda kipolice police kule ni hela tuu na kama ni misheni imepangwa lazima ikamilike
 
Sasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!
...katika nyanja za kijeahi kuna intelligensia mtu anaweza kujifanya kapotea njia anakatiza kwenye kambi ya jeshi kumbe kuna taarifa anatafuta.. Ukimkamata na kumpeleka police atatoa 10,000 watamwachia kesho atakuja tena au atakuja mwingine! Hapo baada ya mwaka watakua wamepata taarifa kiasi flani wanachotaka!
Dawa ni kuhakikisha hakatizi mtu asiyehusika na hapo ndo panapokuja ile neno DOSO au adhabu za kijeshi maana ukienda kipolice police kule ni hela tuu na kama ni misheni imepangwa lazima ikamilike
 
Tesla! We ni sensei ni nini? Watu watatu wenye mazoezi unaondoka nao! Mimi wawili tu, ila wakiwa maboya nawasafirisha kweli.

Suala la Wajeda kuwapa adhabu raia ni utemi tu na kinachowalinda ni jezi zao za mabaka baka. Raia akifanya kosa inabidi akabidhiwe mikononi mwa polisi.
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!
...katika nyanja za kijeahi kuna intelligensia mtu anaweza kujifanya kapotea njia anakatiza kwenye kambi ya jeshi kumbe kuna taarifa anatafuta.. Ukimkamata na kumpeleka police atatoa 10,000 watamwachia kesho atakuja tena au atakuja mwingine! Hapo baada ya mwaka watakua wamepata taarifa kiasi flani wanachotaka!
Dawa ni kuhakikisha hakatizi mtu asiyehusika na hapo ndo panapokuja ile neno DOSO au adhabu za kijeshi maana ukienda kipolice police kule ni hela tuu na kama ni misheni imepangwa lazima ikamilike
 
Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,

Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umewahi kusikia kitu kinaitwa Combat Karate?
 
Sasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe labda wasiwe wanajeshi wa JWTZ
 
Sasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu alafu tukikutana kwa Sir God utanisimlia vizuri
 
Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,

Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana Ukonga mkuu tuonyeshane ujuzi na nikikufua kitakachofuata mimi sikijui!
 
Unapigwa tu hata ukimkany'aga kwa bahati mbaya na huna pakushitaki.
.
Sisi raia wengi tunakatabia ka kujisahau sana
.
Kwa mfano mwanajeshi kaja sokoni Tandale akamwagiwa kwa bahati mbaya maji machafu! Je akaushe asifanye lolote ili adhalilishe nguvu ya jeshi? Hapana ni lazima afanye kitu.
 
Naomba kujua sheria ipi inampa mwanajeshi kibali cha kumpiga mwananchi au raia ikiwa ni pamoja na kumpa adhabu,

Kwa nini asimkabidhi yule raia kwa jeshi la polisi ili achukuliwe hatua za kisheria?

Na kwa nini amchukue mpaka kambi za jeshi kwenda kupewa adhabu huko kwa naye ni mwanajeshi,

Hii imetokea leo pale jkt karibu na uhasibu barabara ya kilwa road kwa kodakta moja wa daladala.

Nawasalisha.

J putin

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda polisi toa taarifa ya kushambuliwa na askari na kukujeruhi, utapewa PF3 utaenda hospital utatibiwa then unafungua kesi anaitwa kupitia mkuu wake wa kikosi.

Taratibu zitafuatwa kama ni mahakamani atapelekwa (iwe ya kijeshi iwe ya kiraia), kama kuna gharama za matibabu, fidia utalipwa, tena askari atapata tabu sana.

Askari hupenda kuonea raia kwakua raia wengi hawajui haki zao, na hawajui mipaka ya askari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom