grand millenial
JF-Expert Member
- Jul 29, 2018
- 3,943
- 5,550
That means una dan?Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,
Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
usinikumbushe hio kambi ya hapo uhasibu kuna siku zamani wakati nipo TIA apo niliingia kwenye supermarket yao ya jeshi pale nimevaa kata K kulikua ni kipindi cha mvua mvua kwakweli sitasahau yaliyonikuta wanajeshi sisi sio adui zenu sisi ni raia tu adhabu zenu zinawafaa nyie sio sisi raia
sikuingia class vipindi karibu wiki nzima na nilipata kichomi ugonjwa ambao sikua nimewahi kupata tangu nimezaliwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Shida ya polisi na wanajeshi ya bongo ndio hiyo!! Wanafanya kazi kihisia zaidi kuliko uhaisia, ndio maaana uchunguzi/upelelezi wa kibabaishaji sana.Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!
...katika nyanja za kijeahi kuna intelligensia mtu anaweza kujifanya kapotea njia anakatiza kwenye kambi ya jeshi kumbe kuna taarifa anatafuta.. Ukimkamata na kumpeleka police atatoa 10,000 watamwachia kesho atakuja tena au atakuja mwingine! Hapo baada ya mwaka watakua wamepata taarifa kiasi flani wanachotaka!
Dawa ni kuhakikisha hakatizi mtu asiyehusika na hapo ndo panapokuja ile neno DOSO au adhabu za kijeshi maana ukienda kipolice police kule ni hela tuu na kama ni misheni imepangwa lazima ikamilike
Tuweke sparing nione kama uko fiti kweliMkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,
Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Amesema ana ngazi ya juu sana means yupo above BLACK BELT
Amesema....Amesema ana ngazi ya juu sana means yupo above BLACK BELT
"Hatikvah"
Ahahaaaaaaa pole sanamimi ni muhanga wa hili...
nilimkung'uta mmoja bila kujua kama ni soja mwenye nyota moja..
akaenda kambini akarudi na MP 7 na mmoja alikuwa na SMG...
kilichofuatia naomba niishie hapa.
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!Ni ubabe tu mkuu,wale ma MP ni kwa ajili ya wanajeshi wanspoharibu kazi wanawapeleka huko wanakula tifu la kutosha.
Ndyo maana hakuna raia atakayehukumiwa katika mahakama za jeshi.jeshi na raia hakuna uhusiano.
Hayo mambo ni ya polisi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!Sasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mambo ya kuangalia. Kwa jicho la tatu!Tesla! We ni sensei ni nini? Watu watatu wenye mazoezi unaondoka nao! Mimi wawili tu, ila wakiwa maboya nawasafirisha kweli.
Suala la Wajeda kuwapa adhabu raia ni utemi tu na kinachowalinda ni jezi zao za mabaka baka. Raia akifanya kosa inabidi akabidhiwe mikononi mwa polisi.
Mkuu umewahi kusikia kitu kinaitwa Combat Karate?Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,
Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
wewe labda wasiwe wanajeshi wa JWTZSasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Thubutu alafu tukikutana kwa Sir God utanisimlia vizuriSasa mkuu hii tabia isipokomeshwa tutakuja kuuana bure,maana hata sisi raia tuko vizuri sana kwenye kupambana,maana nina uhakika wanajeshi watatu nina uwezo wa kuwakalisha chini vzr sana,maana hata raia wengine wana bastola tutakuja kuuana hivi hivi,mi siwezi kukubali hata siku moja bora inuke tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu sana Ukonga mkuu tuonyeshane ujuzi na nikikufua kitakachofuata mimi sikijui!Mkuu mi babu alikuwa master wa karate huko Japan,mwaka 1990 alirudi home,toka hapo baada ya miaka minne nilianza kufundishwa huu mchezo mpaka miaka 20 bado niliendelea kufundishwa na babu,
Kiufupi nina daraja la juu kabisa kwenye huu mchezo huwa napigana na kundi la watu, ila wanaojua huu mchezo bado niliendelea kuwapa dozi mpaka najiona sina mpinzani
Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda polisi toa taarifa ya kushambuliwa na askari na kukujeruhi, utapewa PF3 utaenda hospital utatibiwa then unafungua kesi anaitwa kupitia mkuu wake wa kikosi.Naomba kujua sheria ipi inampa mwanajeshi kibali cha kumpiga mwananchi au raia ikiwa ni pamoja na kumpa adhabu,
Kwa nini asimkabidhi yule raia kwa jeshi la polisi ili achukuliwe hatua za kisheria?
Na kwa nini amchukue mpaka kambi za jeshi kwenda kupewa adhabu huko kwa naye ni mwanajeshi,
Hii imetokea leo pale jkt karibu na uhasibu barabara ya kilwa road kwa kodakta moja wa daladala.
Nawasalisha.
J putin
Sent using Jamii Forums mobile app
That means una dan?
"Hatikvah"
Hahah msela ameona hajaelewa lugha mliyotumia hapa kaona alale "mbere kwa mbere".Amesema ana ngazi ya juu sana means yupo above BLACK BELT
"Hatikvah"
osu!Hahah msela ameona hajaelewa lugha mliyotumia hapa kaona alale "mbere kwa mbere".
Wazee wa kamae-te,hajime.
Uko ukonga sehemu gani na mimi naishi ukongaKaribu sana Ukonga mkuu tuonyeshane ujuzi na nikikufua kitakachofuata mimi sikijui!