Millard Ayo achafuliwa Instagram

Naunga mkono hoja.... Yeye ni nani, na ulitaka uanze kusikia lini madudu yake sio kama hivi ulivosikia leo? Hii kitu hainaga utaalamu wa usomi.... Genye zina nguvu kuliko akili yako ya kawaida, ndio maana mtu anachojoa akabaki kama alivozaliwa mbele ya mwenzie bila kuona aibu na asijitambue... Wangapi wenye utimamu na busara za kumzidi Millard, wameumbuka kwenye hii kitu? Hata hao wenye skendo walikua kama Millard, leo imefika zanu ya millard kwann msiamini? Kila jambo Lina mwisho wake, na ukae ukijua uzinzi Mungu hapendi, kaamua kumuonya kwa namna hii.. MUNGU ANAONA......
 
Mpaka kumaliza mzunguko wa Fiesta atakua kagonga nyapu ngapi, duuh! Kumbe Fiesta ni zaidi ya mwenge wa uhuru.. Hizi Fiesta zinaongeza idadi ya wangonjwa kwa kweli... Imooooo.. Mwakani slogan itakua Uwoooooooo
 
Unachosema hatukatai. Linapokuja swala la ashki majnun sisi wanaume kichwa kilichopo kwenye boxer huwa kinanguvu hadi sometimes kinaenda against gravity. Ila swala hapa mtu kama millard sio wa kukosa nyapu. Na kama kukosa...sio wa kukosa elfu 30. Pesa ya madafu sana hiyo. Na kama wewe kweli unajua class. Status yake hawezi kutoka na malaya wa elfu 30. Millard mnamuonea na mungu anawaona
 
Ah! Jombaa, labda hufahamu jinsi celebrities wanavyopenda nyapu 4 free! In short, tour za mikoani zinaambatana na kula nyapu za bure za dada zetu... na mademu wengine wanashoboka na kuachia mzigo for free willingly! Sasa ukikutana na akina "Ustaa kwenu, hapa biz tu;" ndo haya sasa!! Kwahiyo sio suala la kukosa 30K bali kuzoea vya bure!!!
 
Anyways.... lets end it here. I got a bunch of stuffs to do.it's moneyday you know. Bravooo
 
unachoongea chief ni kweli millard hawezi shindwa kulipa hiyo hela,angekuwa Mchomvu hapo hata mimi ningekubali
 
unachoongea chief ni kweli millard hawezi shindwa kulipa hiyo hela,angekuwa Mchomvu hapo hata mimi ningekubali
Yule anaweza kabisa. Na tena wangemalizana huko huko.guest..... yule malaya namfatilia nitakula nae sahani moja. Nishamuona Insta.
 
Ina wezekana huyo bi dada akawa anatafuta kiki ila pia inawekana Millard naye anatafuta kiki kumtumia huyo dada kupost ni strategy tu
Lini ulisikia kibAya kumuhusu millard toka umfahamu. Kiki na kujidhalilisha wapi na wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…