Millard Ayo ajimilikisha Jokate

Kuna wangoni wanakaa Mtoni Mtongani, hao kazi yao ni kulia kwenye misiba ya wangoni wenzao na kulewa pombe tu. Sasa wakipiga story za hiyo misiba ni hatari, yaani huko wanawapelekea moto mpaka vibibi vizee.
Duuu ni hatari kaka.
 
Vinyambisi vingekuwa na calculator.... Cha Jkt... Kingejaa number
 
Wabongo kwa kupenda umbeya hamjambo
 
Nampenda Jokate,namuona ana busara,nimefurahi kuiona couple hiyo,nawaombea Mungu wafike mbali
 
Mambo gani haya uzi toka Mkapa yuko madarkani
Haya wahusila wenyewe watakuwa washa zeeka
 
Ni kama usikie j.delicious anajimilikisha sanchoka
 
Kwani King Kiba wameachana na Jokate? Si Ayo ataendelea kuibiwa tu?
 
There is somebody behind her!!!!!

Nashukuru kwa kunifahamisha

I have nothing wrong with the picture zaidi ya kuelezea nilichokiona!

Wengine hatuuwezi unafiki nyeusi tunaiiita nyeusi na nyekundu tunaiita nyekundu!

Ova
hahaha safi sana ...hata mimi huwaga nashangaa mnooo she is overrated""...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…