Millard Ayo ajimilikisha Jokate

Millard Ayo ajimilikisha Jokate

Rich Pol

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2013
Posts
7,874
Reaction score
5,685
Hakika hata siku moja huwezi kuuficha moto, kwani moshi lazima utakuumbua tu. Baada ya kuumizwa na aliekuwa mpenzi wake Millard Ayo baada ya kumfumania live jiki Mwanza, Millard aliamua kukaa single kwa muda mtefu na kutokuwa na wazo la kupenda tena.

Mapenzi yake kwa Jokate yalianza kwa kificho na kwa usiri mkubwa hatimai imedhihilika kuwa mapenzi hayana siri baada ya kuanza kutoa picha zao ktk mitandao na kuonekana sehemu tofauti wakiwa wote, hasa ktk tuzo za Afrimama zilizofanyika South Africa.

Hii ni couple nzuri yenye kujua maisha hasa katika suala zima la kutafuta pesa licha ya kujituma kwa juhudi katika kazi zao.
Ikumbukwe Jokate ane sign mkataba usiokuwa na kikomo na kampuni ya wachina yenye thamani ya Tshs 8.2 billion.
 

Attachments

  • 1419296551828.jpg
    1419296551828.jpg
    65.7 KB · Views: 6,663
First of all Joketi wa kawaida kupita maelezo!

Second one kama ni kweli amesign such a cotract/endorsement hakyanani hatutalala usingizi mnono kwani kelele zitakuwa kila sehemu

Kuna mtu alijinunulia BMW ikawa ni heka heka itakuwa 8 bil

Wakawaida kwakua unamjua kupitia picha tu..jokate ni binti wa kingoni msomi mzuri na mrembo..utakua unakosea sana kumfananosha Jo na yule mwenye makalio yanayodondoka anaeshindia bia za Serengeti triple 7..
 
First of all Joketi wa kawaida kupita maelezo!

Second one kama ni kweli amesign such a cotract/endorsement hakyanani hatutalala usingizi mnono kwani kelele zitakuwa kila sehemu

Kuna mtu alijinunulia BMW ikawa ni heka heka itakuwa 8 bil

Unamfahamu Constantine Magavilla wa Airtel? Yule jamaa watu wanadai ni mchele mchele.
Yeye ni ndugu wa tumbo moja na Jokate, yeye ndio yuko nyuma ya kitu kama ilivyokuwa nywele.
Costa ni mpiganaji lakini hupenda kukaa nyuma na kutanguliza wengine katika michongo kama vile akina AY ambao wengine wanampiga.
Nadhani sasa ameamini Mdogo wake amekua na kuamua kumtanguliza mbele.
Kuhusu picha, nadhani kwa sasa Wabongo tuko kwenye hatua mbaya, yaani watu wakipiga Picha tu kosa? Mbona Le Mutuz anapiga Picha na watu kila siku na hatusemi?!
Ova
 
Unamfahamu Constantine Magavilla wa Airtel? Yule jamaa watu wanadai ni mchele mchele.
Yeye ni ndugu wa tumbo moja na Jokate, yeye ndio yuko nyuma ya kitu kama ilivyokuwa nywele.
Costa ni mpiganaji lakini hupenda kukaa nyuma na kutanguliza wengine katika michongo kama vile akina AY ambao wengine wanampiga.
Nadhani sasa ameamini Mdogo wake amekua na kuamua kumtanguliza mbele.
Kuhusu picha, nadhani kwa sasa Wabongo tuko kwenye hatua mbaya, yaani watu wakipiga Picha tu kosa? Mbona Le Mutuz anapiga Picha na watu kila siku na hatusemi?!
Ova

Asanteeee
 
Unamfahamu Constantine Magavilla wa Airtel? Yule jamaa watu wanadai ni mchele mchele.
Yeye ni ndugu wa tumbo moja na Jokate, yeye ndio yuko nyuma ya kitu kama ilivyokuwa nywele.
Costa ni mpiganaji lakini hupenda kukaa nyuma na kutanguliza wengine katika michongo kama vile akina AY ambao wengine wanampiga.
Nadhani sasa ameamini Mdogo wake amekua na kuamua kumtanguliza mbele.
Kuhusu picha, nadhani kwa sasa Wabongo tuko kwenye hatua mbaya, yaani watu wakipiga Picha tu kosa? Mbona Le Mutuz anapiga Picha na watu kila siku na hatusemi?!
Ova

There is somebody behind her!!!!!

Nashukuru kwa kunifahamisha

I have nothing wrong with the picture zaidi ya kuelezea nilichokiona!

Wengine hatuuwezi unafiki nyeusi tunaiiita nyeusi na nyekundu tunaiita nyekundu!

Ova
 
Wakawaida kwakua unamjua kupitia picha tu..jokate ni binti wa kingoni msomi mzuri na mrembo..utakua unakosea sana kumfananosha Jo na yule mwenye makalio yanayodondoka anaeshindia bia za Serengeti triple 7..

Acha ubishi usio na tija huyu jokate ni wakawaida sana hata mimi nilipomuonaga mara ya kwanza posta nilishangaa na nilivyokua namuona udsm maeneo ya hall 4 ndo kabisa yani...
 
First of all Joketi wa kawaida kupita maelezo!

Second one kama ni kweli amesign such a cotract/endorsement hakyanani hatutalala usingizi mnono kwani kelele zitakuwa kila sehemu

Kuna mtu alijinunulia BMW ikawa ni heka heka itakuwa 8 bil

Kwan wew unatafsir vip uzuri wa mwanamke?? Jokate ni mzuri na ana akil pia
 
Unamfahamu Constantine Magavilla wa Airtel? Yule jamaa watu wanadai ni mchele mchele.
Yeye ni ndugu wa tumbo moja na Jokate, yeye ndio yuko nyuma ya kitu kama ilivyokuwa nywele.
Costa ni mpiganaji lakini hupenda kukaa nyuma na kutanguliza wengine katika michongo kama vile akina AY ambao wengine wanampiga.
Nadhani sasa ameamini Mdogo wake amekua na kuamua kumtanguliza mbele.
Kuhusu picha, nadhani kwa sasa Wabongo tuko kwenye hatua mbaya, yaani watu wakipiga Picha tu kosa? Mbona Le Mutuz anapiga Picha na watu kila siku na hatusemi?!
Ova

Bora umeongea wew, mm wakat nasoma hii thread nikajua chin labda ntakuta pcha za kimahaba kbaooo kumbe hizo tu walzopga juz na wakapost wenyew!
 
Wakawaida kwakua unamjua kupitia picha tu..jokate ni binti wa kingoni msomi mzuri na mrembo..utakua unakosea sana kumfananosha Jo na yule mwenye makalio yanayodondoka anaeshindia bia za Serengeti triple 7..
Ha ha ha!!Kiukweli jojo ni mzuri bwana,plus shule ndo kabsaaa!!Anajituma na ni mchapakazi,sema tatizo anagawa kwa rika zote,kwenye ufuska ndo atulie tu,everybody has her/his past,zaidi nawatakia mafanikio mema!!
 
kiakili joket yupo vzuri mnoo bt ukiongelea sura yap n wakawaida kwa walosoma udsm watakuwa wanajua bt hongera kwao kama n kweli
 
tena hiki ki nguo cha jokate ndo kile kile alichokivaa jana then aka post Twitter.......ok project inaendelea lakin
 
Bora umeongea wew, mm wakat nasoma hii thread nikajua chin labda ntakuta pcha za kimahaba kbaooo kumbe hizo tu walzopga juz na wakapost wenyew!

Dah wamenishangaza kweli. Kujengea hoja Picha iliyopigwa hadharani.
Ova
 
Back
Top Bottom