Nampa hongera. Ni kijana anayepiga hatua kila leo. Kipindi chake cha amplifaya ni ubunifu wa aina yake.
Ndio nani huyo?
Atatumia lugha gani?
Hivi DSTV ni kituo cha televisheni kama ITV, CNN etc?
Hata mimi nashangaa, ni kama kusema kawa ripota wa startimes au digitek. Sijamuelewa
ina maana hajui kizungu?
mimi namfahamu tangu anakaa keko kule machungwa kule bondeni kama unaenda keko mwanga. tumekula wote chips pale kwa sharrif japo hajui mi nani. big up mtu wangu wa nguvu. mia
Huu uzi hata cjauelewa