Millard Ayo apata zali la uripota DSTV

Millard Ayo apata zali la uripota DSTV

Mbona sielewi hapa....DSTv ??? Hayupo specialized kama Vannesa Mdee alivo kwa MtV base
 
Mradi ni dstv, hataa kama anaenda kuwa mshikaa spana kwa sasa. Bado mtoto mdogo sana, ana nafasi ya kukua ndani ya kampuni ya dstv.
(Ila asikue akashindwa kutosha kwenye tv zetu)
 
Aisee dogo anapiga hatua sana. Mungu amjalie kujituma na kuwa mwaminifu katika kazi yake. Atafanikiwa zaidi na zaidi.
 
Mradi ni dstv, hataa kama anaenda kuwa mshikaa spana kwa sasa. Bado mtoto mdogo sana, ana nafasi ya kukua ndani ya kampuni ya dstv.
(Ila asikue akashindwa kutosha kwenye tv zetu)
 
ukimwamini Yesu lazima ufike mbali, kijana amemshika sana kristo. Pia ni mchapakazi, atumii pombe, pia ni mtu wa kazi. nakuombea ufike mbali sana katika hii fani
 
True dat MKuu! ... Nilianza kumfatilia tangu akiwa Wapo FM - - he is a very determined chap !!! ofcoz He has inspired me to 4llow his steps ..!!

WHAT IF I CALL HIM MY ROLE MODEL????????????????????

Anaweza kuwa role model wako lakini jitahidi kukua na kuacha kuandika vitu kama 4llow badala ya follow.
 
ukimwamini Yesu lazima ufike mbali, kijana amemshika sana kristo. Pia ni mchapakazi, atumii pombe, pia ni mtu wa kazi. nakuombea ufike mbali sana katika hii fani


Hatumii pombe vingine anatumia? Sitaki kuhukumu though!
 
Jamaaa anajua

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
aaaah hawezi kutangaza anajisumbua tu pagumu pale eeeeh mi si napajua pale
 
aaaah hawezi kutangaza anajisumbua tu pagumu pale eeeeh mi si napajua pale

Hili ndio tatizo kubwa la sisi watanzania.. wewe ni nani kwani ukishindwa wameshindwa wote?? Acha roho ya wivu
 
Hili ndio tatizo kubwa la sisi watanzania.. wewe ni nani kwani ukishindwa wameshindwa wote?? Acha roho ya wivu

wewe sababu hupajui pale mwambieni asiende pale hapafau atajutia kazi yake hiyo oooohoh
 
Back
Top Bottom