aah nina ulimi tu!Wewe huna mdomo...lol!!
Aeleze vizuri wengi hatujaelewa kazi yake mpya!au anauza ving'amuzi?
mneshaanzaaaaa mara ooh nimesomanaye, tumeishi wote mtaa mmoja, tulikuwa tunasali kanisa moja.
Mwenzio anapiga hatua wewe bado unauza miguu ya kuku hapo kwenu.
Acheni roho mbaya kwan kusoma shule ya kata ndo lugha haipandi? Millard yuko njema alimaliza mbele yangu o level hiyo hiyo shule ya kata but guess tuko level zingine sana kuliko hata hao waliosoma the so called seminary and the like
aaaah hawezi kutangaza anajisumbua tu pagumu pale eeeeh mi si napajua pale
Hongera sana dogo. Wewe umefungua njia na wengine watafuata. Ukiharibu ujue umeharibia wabongo na ukifanya vizuri basi umesafisha njia kwa wabongo. Tutakumiss sana kwenye amplifier.
Atatumia lugha gani?
amesoma shule moja ya Kata inaitwa Akheri huko Meru, so sijui kama ung'eng'e unapanda
Hili zali liliishia wapi?
Make kiingereza pekee anachojua ni "thanks so much for your time".
aaaah hawezi kutangaza anajisumbua tu pagumu pale eeeeh mi si napajua pale
Aeleze vizuri wengi hatujaelewa kazi yake mpya!au anauza ving'amuzi?
Mradi ni dstv, hataa kama anaenda kuwa mshikaa spana kwa sasa. Bado mtoto mdogo sana, ana nafasi ya kukua ndani ya kampuni ya dstv.
(Ila asikue akashindwa kutosha kwenye tv zetu)