Miaka ya nyuma hasa utawala wa kikwete Jf ilikuwa inashindanishwa na michuzi, in short, system ilikuwa inataka kuuwa Jf na kuifanya michuzi bora zaidi lakini mwisho wa siku kila kitu kilikwama Michuzi blog ikajifia kifo cha mende na Mjegwa blog ikajifia kifo cha mende
Sasa utawala huu unatumia Millard Ayo kufanya propaganda masikini huyu Kijana namuhurumia maana siku si nyingi hii blog yake ikajifia kama blog nyingine (Mark my words)
Millard Ayo anatumiwa na system sana habari zake ni kukandamiza upande mwingine, mfano ipo mingi lakin kwa uchache kukiwa na habari nzuri ambayo in favour wapinzani hatoi kwenye youtube channel yake au blog yake hata Instagram akaunti yake, hata habari za magazeti ukiwa in favour upande wa pili(upinzani) hilo gazeti hataliweka kwenye blog yake
Pia utawala huu umekuwa unatumia yeye kama yeye ndio anapewa habari lakin anatoa habari ambazo zimechujwa in favour of utawala huu na kukandamiza wengine
Millard Ayo ni kijana mdogo mtafutaji, haya yote ni mapito na karma is a b**ch. Je tutegemee hii blog kufa kifo cha mende kama Michuzi mix?
Sasa utawala huu unatumia Millard Ayo kufanya propaganda masikini huyu Kijana namuhurumia maana siku si nyingi hii blog yake ikajifia kama blog nyingine (Mark my words)
Millard Ayo anatumiwa na system sana habari zake ni kukandamiza upande mwingine, mfano ipo mingi lakin kwa uchache kukiwa na habari nzuri ambayo in favour wapinzani hatoi kwenye youtube channel yake au blog yake hata Instagram akaunti yake, hata habari za magazeti ukiwa in favour upande wa pili(upinzani) hilo gazeti hataliweka kwenye blog yake
Pia utawala huu umekuwa unatumia yeye kama yeye ndio anapewa habari lakin anatoa habari ambazo zimechujwa in favour of utawala huu na kukandamiza wengine
Millard Ayo ni kijana mdogo mtafutaji, haya yote ni mapito na karma is a b**ch. Je tutegemee hii blog kufa kifo cha mende kama Michuzi mix?