Millard Ayo kawa mmoja kati ya watanzania waliopata nafasi ya kusoma course ya IVLP

Mtu wa 2? Hehehehe hiyo course sio anything special wabongo walioenda ni wengi balaa. Entrepreneur yeyote akitaka anajiunga kirahisi tu hakuna special invitation wala nini

mnaomba wengi.. lakini mnashindanishwa.. maana mnalipiwa nauli na malazi na us embassy.. lazima wawashindanishe kupata the best kwa huo mwaka.. ila ipo kila mwaka
 
Hongera Sana Millard Ayo kuwa mtanzania wa Pili Kusoma IVPL Tangu mwaka 1960 aliposoma Nyerere,Kweli Awamu ya 5 imefanya juhudi mpaka US Embasy wametuona watanzania na kutoa Mtu wa Kusoma hiyo kozi hakika Awamu ya 5 imefanya kazi kubwa kwa hili.
 
Ukweli ni kwamba Millard hajachaguliwa...hio course unapply then embassy ndo wanachagua nani aende. Wanaangalia vijana wachapakazi na ni very competetive kama umesema una biashara wanaifuatilia kama haina potential huwekwi. Kila mwaaka wanapeleka watu wengi tu ila unaaaply hawakuselect kama mtoa mada alivosema
 
mwaka juzi kuna jamaa yetu yuko mwanza ana kamradi ka utunzaji wa mazingira na ufugaji wa nyuki alipata bahati ya kusoma hako ka kozi huko marekani..so nashangaa mnavyosema milard ni mtanzania wa pili..
 
NADHANI ANKO WANGU STIVU_NYERERE ATAENDA KUSOMA HIYO PROGRAM SOON.

"ILA MAISHA LAZIMA YAENDELEE."
 
wabongo tunavyo penda kula na kunywa kunywa ebu mcheki millard ayo wenzie wanasikiliza yeye anasikilizia utamu tu wa kinywaji bongo raha sana
 
Hongera Dr. Millard Ayo kwa kuhitimu masomo yako ya PhD nchini Marekani
 
Sasa huyu aliyesema ni Nyerere na Miladi Ayo ni muongo mi kuna jamaa namjua alikwenda hiyo kozi
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ hizi comments bhana!
Unaweza kuta kisu cha ngariba ndo Millard ayo mwenyewe maana hizi ID fake hizi!
 
February, Nape, Mwigulu,Zitto, Sugu nk kama nawaona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…