King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Hatari sana hiiMillard Ayo anaharibu credibility yake kisa hao manabii feki wanampa mkwanja mrefu kuoneza uongo wao.
Giodevi alisema alitokewa na yesu mara zumaridi naye alionana na mungu halafu wote wanamtumia millard.
Kweli kabisa mkuuZumaridi , mwamposa , gwajima , masanja , malisa , kakobe etc wote wapo chama kimoja , wanatofautiana tuu namna ya kuwahadaa waumini zao
[emoji16] sijui inakuwaje wanamuamini mtu Kama huyoWaumini wake nao wapimwe Akili utakuta zipo mbili
Sawa wewe mwenye akili ipo siku atakuja na interview namna gani mtu alianza ushoga eti kwa kua kalipia basi tusimuingilie.Huna akili
Kuna wajinga wengi tu, wanamuona Kama mungu wao pale mwanzaNi mwehu pekeyake anaweza kumuamini yule mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Machoni tu anaonekana ni mwongo
Yaani amegeuka comedian [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hatari sanaHata ingenilipa kiasi gani nisingeweza vumilia zile kufuru
[emoji16][emoji16][emoji16]Hautaki kujua story za mbinguni?
Atakuja mtu hapo atasimulia namna gani anapenda ushoga na kipindi kitarushwa kwa kua kalipaUhuru wa habari na dini usiingiliwe kwa sababu tunataka kusikia yale tunayopenda tu.
Hivi ni kweli kuna watu wanamuamini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna wajinga wengi tu, wanamuona Kama mungu wao pale mwanza
Sipati picha ingekua Muislamu ndo kayazungumza hayaIfikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.
Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu zumaridi.
Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.
Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.
Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.
Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.
Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.
Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!
Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??
Miladi ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu zumaridi wa Mwanza.
Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
View attachment 2552720
Hii Hoja mtoa mada unapaswa kuielewa vizuri kabisa.Kwaiyo hutaki afanye Kazi
Mirrad anaingiza hela kupitia content Kama hizo maana watz 90% ni watu wapumbavu wajinga wanopenda Mambo kama hayo ndo maana kawawekea ili Apate pesa
[emoji16]Sipati picha ingekua Muislamu ndo kayazungumza haya
Nabaki kusoma comments tu
Kaka ana wafuasi huyu dada Tena wanaimani nae kweli kweli aise huwaambii kitu.Hivi ni kweli kuna watu wanamuamini?[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣😆[emoji16] tutafika mbinguni tumechoka sana
Nchi ina uhuru wa kuabudu na kuchagua, muache afanye ww r mambo yake, mwenye akili ataamua amuamin au asimuamini...Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.
Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.
Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.
Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.
Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.
Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.
Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.
Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!
Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??
Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.
Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
Serikali haihubiri dini wewe! Suala la yeye ni Mungu au ni Zumaridi mwachie yeyeIfikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.
Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.
Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.
Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.
Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.
Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.
Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.
Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!
Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??
Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.
Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
Millard Ayo na Zumaridi wote wangetupwa mandarbess kwa kupotosha watuIfikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.
Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.
Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.
Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.
Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.
Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.
Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.
Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!
Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??
Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.
Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.