Millard Ayo kwa kumpa airtime ya kutosha Zumaridi kuongea stori za kusadikika ni kumkosea Mungu na sisi Watanzania

Millard Ayo kwa kumpa airtime ya kutosha Zumaridi kuongea stori za kusadikika ni kumkosea Mungu na sisi Watanzania

Millard Ayo anaharibu credibility yake kisa hao manabii feki wanampa mkwanja mrefu kuoneza uongo wao.

Giodevi alisema alitokewa na yesu mara zumaridi naye alionana na mungu halafu wote wanamtumia millard.
 
Ni mwehu pekeyake anaweza kumuamini yule mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Machoni tu anaonekana ni mwongo

Yaani amegeuka comedian [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna wajinga wengi tu, wanamuona Kama mungu wao pale mwanza
 
Uhuru wa habari na dini usiingiliwe kwa sababu tunataka kusikia yale tunayopenda tu.
Atakuja mtu hapo atasimulia namna gani anapenda ushoga na kipindi kitarushwa kwa kua kalipa
 
Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.

Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu zumaridi.

Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.

Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.

Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.

Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.

Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.

Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!

Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??

Miladi ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu zumaridi wa Mwanza.

Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.

View attachment 2552720
Sipati picha ingekua Muislamu ndo kayazungumza haya

Nabaki kusoma comments tu
 
Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.

Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.

Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.

Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.

Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.

Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.

Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.

Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!

Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??

Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.

Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
Nchi ina uhuru wa kuabudu na kuchagua, muache afanye ww r mambo yake, mwenye akili ataamua amuamin au asimuamini...

Muache millard afanye kazi yake,ndio inaendesha maisha yake, kikubwa avunji sheria za nchi

Sent from my M2010J19SI using JamiiForums mobile app
 
Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.

Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.

Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.

Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.

Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.

Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.

Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.

Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!

Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??

Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.

Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
Serikali haihubiri dini wewe! Suala la yeye ni Mungu au ni Zumaridi mwachie yeye
 
Ifikie hatua serikali yetu iweke sheria kali dhidi hawa manabii na mamungu makanjanja katika nchi yetu hii.

Kiukweli ulichokifanya milard Ayo siyo haki kabisa kusambaza upuuzi Kama huo aliouzungumza huyo anayejiita mungu Zumaridi.

Kupitia hiyo interview hakika Kuna watanzania wameendelea kumuamini na kanisani kwake jumapili ataongeza waumini wakutosha na pesa za kutosha kwenye kibindo chake.

Nachosikitika zaidi na zaidi waumini au wafuasi wakubwa ni watoto na wanawake, ni mashaka na wasiwasi wangu kuwa yasije yakatokea ya mchungaji Kibwetere aliyechoma kanisa na waumini ndani Kisha alitokomea kusikojulikana mpaka Sasa.

Hiyo ilitokea baada yakuwaambia waumini wake kuwa mwisho wa dunia umefika nakuwasihi waumini wauze mali waje wakeshe kanisani wakisubiri mwisho wa dunia.

Kilichotokea hapo ni historia mpaka Sasa hafahamiki alipo baada yakuwachoma waumini wake.

Sasa Tanzania tunajanga la ongezeko la ushoga, madawa ya kulevya pamoja na vifo vyenye utata nk.

Media zetu kwa Nini hamjikiti huko kwenye matatizo makubwa kuliko kuanza kutusimulia Mambo ya mtu alikwenda mbinguni akakutana na jua!

Mtu anajita mungu si inabidi awe na mbingu yake na inakuaje anatokewa na mungu wakati yeye ni mungu??

Millard ulichotufanyia watanzania hakika umetukosea sana kwa kutuletea stori za huyo mungu Zumaridi wa Mwanza.

Natoa tamko kwa Serikali yetu sikivu iingilie Kati dhidi ya hawa manabii, watakuja kutumbukiza familia zetu katika shimo la hewa.
Millard Ayo na Zumaridi wote wangetupwa mandarbess kwa kupotosha watu
 
Back
Top Bottom