Millard Ayo kwa kumpa airtime ya kutosha Zumaridi kuongea stori za kusadikika ni kumkosea Mungu na sisi Watanzania

Millard Ayo kwa kumpa airtime ya kutosha Zumaridi kuongea stori za kusadikika ni kumkosea Mungu na sisi Watanzania

Kwahiyo hadithi ya yesu kupaa kwenda mbinguni kwako ni sawa?
 
Kaweka interview ya mgonjwa WA akili ...cha ajabu mgonjwa atapata wafuasi Wengi zaidi..
Labda tatizo ni wagonjwa WA akili kuwa Wengi zaidi
Ni mwehu pekeyake anaweza kumuamini yule mama[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Machoni tu anaonekana ni mwongo

Yaani amegeuka comedian [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rick Ross kwenye wimbo wake wa Freemason alianza na intro “This is for the soldiers that see the SUN [emoji3508] at MIDNIGHT, ya dig
Let me slow down
(It's so incredible)”

Inawezekana zumaridi Ana undugu na Rick Ross
Noma sana!
 
Waumini wake nao wapimwe Akili utakuta zipo mbili
 
Back
Top Bottom