NetworkEngineer
JF-Expert Member
- Jun 21, 2012
- 1,952
- 1,181
See you again ya Wiz khalifa in viewers 3.1 bilion ..huyu hata mziki aache tuu maana sio kwa mipesa atakayopataWajinga kama nyie kuwaelewesha ni kazi sana
Sasa kama ni hivyo vipi kwa kina Justin wao si ndio wangekuwa wanaongoza kwa malipo maana video zao nyingi zinafikisha 1. bilion viewers.
Muwe mnapitia hta huko google kusoma kidogo...
Wewe ni wale wale wanaojua kuingia facebook, kutumia whatsapp, kuangalia porn na youtube
Pesa anayopata, mgawanyo wake mnaujuaUyu angefungua station yake au atengeneze vipind auze...
Millardayo mtani wetu yuleUngekuwa hizo anazipata Lemutuz tusingekaa mjini, maana nae nasikia anafungua online TV!
Anyway hongera sana Millard ago halafu yuko poa kama hapati chochote vile!
Always humble....
Unataka kuwa shemeji yetu. Na iyo MIMBA kwenye AVATAR yako utaipeleka akaileee au?Kumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Haaaaa haaaaaUnataka kuwa shemeji yetu. Na iyo MIMBA kwenye AVATAR yako utaipeleka akaileee au?
Mengi Sana lakini hujachambua, mwanzo hauonekani wala mwisho hauonekaniKwanza watu munadanganyana najua kila kitu kuhusu Google adsense YouTube monetization system huyo jamaa kulingana na views za video zake,keywords,ctr na nchi alipo awezi kupata zaidi ya 3000 dollars kwa mwezi kulingana na idadi ya video anazopublish kwa mwezi
Alafu eti mnasema cpm ni 7.9$ per 1000
Huu ni uongo anayelipwa zaidi YouTube duniani ni Felix kljeberg mmiliki wa chanell ya pew die pie huyu analipwa dollar 2.5 kwa views 1000 mimi mwenyewe ninachanell yangu YouTube inaitwa teco gamer na views wote ni wa marekani na nalipwa dollar 1.26 kwa views 1000 na actually napata views nyingi kuliko ayo na napablish video 3 kwa week kuhusu magemu na namna ya kucheza kuhack coinscoins etc na nalipwa Zaidi ya dollar elfu 2500 tu ambayo aizidi million tano
So tuache kudanganyana million amsini munafikiri masiala eti cost per mile 7.9 aizidi Ata dollar 3 we fikiria iwapo adwords ukilipa dollar 5 tangazo lako linaonekana(viewed) Mara 2000 je yule mwenyewe video YouTube atapa dollar ngapi kwa hiyo 2000 views kama cyo dollar 2 au 3 kwaiyo kila 1000 views ni dollar 1 au 1.5
Watu tunajua nyinyi siku nyingine musituletee upuuzi kama huu Tena mmenikela kwa kusema cpm =7.9$
Analipa kodi?Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.
Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.
Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.
Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.
Thanks
Millardayo mtani wetu yule
Miladi ayo ni mpare pesa yake aiwezi kuonekana
Anajitambuwa, anaenda vizuri, abarikiwe, bidii tu na kujichanganya, alifanya bora kuondoka ITV, naona kulikuwa kunambana sana..Millard Ayo anamiliki Vifaa vya Redio na Tv kabisa. Akiamua kuweka Transmitter tu anaruka hewani. Sema kuna kitu anasubiri kitimie.
Kuna maswali mengi sana, ila majibu anayo mwenyewe, kama nini KIKI hatujuwi, ila kama yasemwayo ni kweli hongera zake..50 Mil?? Labla pamoja na matangazo.....
Haha [emoji23] haha [emoji23] masihala sio mpare ni nani mchaga au?Sio mpare
Haha [emoji23] haha [emoji23] masihala sio mpare ni nani mchaga au?
Hoo OK mkuuMmeru
Mwanaume mzima, unakuwa na wivuHebu kwenda zako huko
NishajifunguaUnataka kuwa shemeji yetu. Na iyo MIMBA kwenye AVATAR yako utaipeleka akaileee au?