Millard Ayo, mtangazaji tajiri zaidi Tanzania, analipwa Mil 50-80/month na Youtube

Bro unatafuta sifa jamii forum??
 
Sasa kama angekua anapata iyo 80m kwa mwezi si ungekuta ni bilionea sasa mbona bado mganga njaa,,??
Wabongo bhana
 
Ila Millard bwana anajituma sana na kazi zake hata Online TV yake kukiwa kuna Matangazo Mubashara inakuwa na Quality nzuri kushinda hata TBC
mkuu unataka kufanya watu watumbuliwe aseee.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…