Ivo una akili mi napata hela wapi wakati yeye 50m per month,...
Hahaha mbona unamjibu kwa ukorofi!!Ndio hapo ujishangae, kwani hela anazopata ushauri ulimpa wewe?
Wanawake kwenye pesa hamjambo.Kumbee. Loh. Ivi ameoa kweli. Niwe shemeji yenu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ujana haubagui.[emoji53][emoji53]
Ndio hapo ujishangae, kwani hela anazopata ushauri ulimpa wewe?
Huyo lemutuz hata akifungua haitafika mbali maana itaakaa kimajungu na kisiasa tu!Ungekuwa hizo anazipata Lemutuz tusingekaa mjini, maana nae nasikia anafungua online TV!
Anyway hongera sana Millard ago halafu yuko poa kama hapati chochote vile!
Always humble....
Je lemutuz yy anavuna kiasi gan mkuu?, coz anajiita king of all social media bongoKwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.
Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.
Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.
Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.
Thanks
Ofcourse, hata mimi niloshawahi kumsikia akihojiwa THE SPORAH TV SHOW.Millard Ayo anamiliki Vifaa vya Redio na Tv kabisa. Akiamua kuweka Transmitter tu anaruka hewani.
Sema kuna kitu anasubiri kitimie.
Na hapo Ndio utakua mwisho maana naona anataka kuwakomoa ambao hawarushi habari za makondaHuyo lemutuz hata akifungua haitafika mbali maana itaakaa kimajungu na kisiasa tu!
brain is the beautiful part of the body.
Atakuwa anahamu ya kutukana watu kila sekunde kwenye hicho ki-tv chake!Na hapo Ndio utakua mwisho maana naona anataka kuwakomoa ambao hawarushi habari za makonda
Ww unalipwa sh ngapi?Kwanza kabisa nikupe hongera Millard ayo kwa kazi nzuri unayofanya ya uandishi wa Habari. Wewe una kipaji kikubwa sana.
Presenter millard Ayo ndio anayetajwa kuwa mtu anayepokea royalities za You tube nyingi zaidi baada ya Diamond Platnumz katika nchi ya Tanzania, hii ni kutokana na viewers na subscribers wa channel zake ambapo kwa mwezi malipo yake huwa yana range mil 50 hadi 80 kutokana na idadi ya viewers, diamond anarange 80mil-130mil kwa mwezi.
Kwakweli nimpe hongera kwani ameajiri vijana wengi(zaidi ya 10) ktk online TV yake.
Vijana nawaasa muwe wabunifu kama millard na mtafanikiwa sana. Millard ayo tunatarajia kuona mambo zsidi kutoka kwako, ikiwezekana ufungue kituo cha radio na television kwani una mashabiki wengi.
Wengine wanaovuna mkwanja mkubwa you tube ni global tv, harmonize, rayvanny. Actually hata wasanii ambao sijawataja nao wanapata pesa nyingi tu.
Thanks
Wewe kuna Vitu wenzako wanakufanya wanakuaribu,..jitafakari