Millard Ayo na JamboTV hamtasamehewa kamwe

Millard Ayo na JamboTV hamtasamehewa kamwe

CWR2016

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2017
Posts
2,773
Reaction score
6,349
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Screenshot_20240806-231802.jpg
Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

Screenshot_20240806-231857.jpg

Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
 
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.
View attachment 3063342
Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

View attachment 3063343

Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Ayo kakosea nini hapo?

Wewe umeenda huko Yombo Dovya kufanya uchunguzi wako na kugundua kitu tofauti?
 
Alafu kwanini mpaka atafutwe? Kwani inamaana hata hospital hakupelekwa?

Anyway, unajua haya mambo ndyo yalee ukute na binti pamoja na ndugu zake nao wamepewa cha kwao tayari ndyomaana hii issue itaushia hewani hivihivi. Kiufupi kwasababu suala lipo mikononi mwa serikali tusifosi saana kutaka kujua limeishia wap labda kuwe na malalamiko ya muathirika wa tukio lenyewe
 
Back
Top Bottom