Millard Ayo na JamboTV hamtasamehewa kamwe

Millard Ayo na JamboTV hamtasamehewa kamwe

Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.


Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Umeandika kwa hisia kidogo badala ya kutafakari fact na possibilities, ngoja nikupitishe kidogo.

1. Taarifa za huyo binti kuhusu eneo analo probably limesikika wkt akiulizwa na watesi wake ktk ile video. Je, una hakika alitoa jibu sahihi, au alitamka ili kuwa ridhisha na kwa woga akaona adanganye ili kuhofia sinto fahamu kama:
i. Kuogopa kufatiliwa na hao watesi wake na kupewa tena mateso.

ii. Kuogpa mtandao wa hao watu wa kumchafua, unahisi alikuwa haoni Camera, what if akawaza hao watu wanaweza watumia marafiki zao wa anakoishi na kumfua ktk level ya mtaa kabisa?

iii. Kulinda jina au image ya ndugu zake wasije kutana na uchafu wa alio fanyiwa. N.k

Tumeona hata wauaji, wezi wakiwa ktk mateso makali ya vipigo na damu bado kuna baaadhi ya taarifa huzipindisha ili kunusuru nafsi zao, either wakikubali wasichofanya au wakiwapa majibu ambayo muulizaj na mtesaji anayo yahitaji au kuficha baadhi ya taarifa ili asiwe kapoteza kila kitu, KTK YOTE HAYO BADO NI UONGO.

2. Ayo na Jambo media. Yule ni mbongo, tukio limeonekana , namna ya kusema watumike kuficha kwa hoja tu ya kuwa eti akai Huko buza ni hoja ndogo sanaa, ni kama kufukia Shimo kwa kisigino. Maana hii kesi ni jinai hata kama huyo dada asingetoa taarifa zake au akawa amejiua, kwa namna yoyote ile asitoe ushirikiano basi informations na ushahidi wote Upo, na Haihataj kuhangaika sana kuificha kwa namna hii.

Mbinu pekee ya wao wangeweza kutumika kwa kupika info za uongo kupindisha kesi kuipunguza ukali mfano:
a. Haikuwa ubakaji, wote mdada na wanaume walikuwa recruited na kampuni za kurecord filamu za uchi kuandaaa video clips za Amateur porn, so scenario ilitakiwa kuwa kutumwa kubaka N.k na clip imechezewa Labda Nchi gani huko. Kama system ingeamua ingelikuja na huuu mchezo harafu jamaa wachezeshwe hukumu based on this story.

b. Millard,wangetumika kuto cover kabisa hiii habari, ni kama kipindi cha DP WORLD, hatukuwa tunaona cheche zake na wengine wakichezesha hizi habari...


My take: watu wanawaza labda huyo afande atakuwa mkuuubwa, yawezekana hata sio mkubwa kihivyoo, if so ungeona michezo mikali kama ya wale wasio julikana, sio hao wanachukuana ktk mageto ya local local na maamuzi yasio smart wana jerecord hadi nyuso zao..
 
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.


Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Sasa mkuu kosa lao ni lipi hapo, kwani hata mimi nimeona taarifa hiyo mwenyekiti akisema hivyo kupitia taarifa ya habari ya juzi kupitia Azam tv!!
 
Acha kulalamika, toa taarifa ya sehemu anapopatikana kama ni yombo toa taarifa mtaa na sehemu acha propaganda.

290a72ed-73e0-4e2b-bbe5-6ab2a284609a.jpg
 
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.


Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Fungua tv yako acha wivu
 
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.


Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Niliwaambieni ukiona vyombo vya dola vina tumia mbinu ya kuzuia picha kusambaa ujue tu kuwa kuna kitu wanakifanya nyuma hili wakiona wausika ni watu wao muhimu waweze kuficha habari huyo binti picha yake imefichwa ili watu wasiweze kutoa ushirikiano kikamilifu kwa kumtambua na nina huakika hadi sasa ameshikiliwa na wakubwa na kufichwa au hata kuuliwa kabisa ....niliwaambia watu video za namna hivyo msikubari kuto kuzisambaza maana kwa kufanya hivyo mnatoa nafasi kwa wahalifu kujilinda au kulindwa ... watu pekee wanao hofia hiyo video kusambaa ni hao wabakaji na huyo mwanajeshi na serikali ya samia mnajua ni mwalifu pekee anaye ogopa ushahidi .. serikali ya samia inaogopa hao watu kutambuliwa na huyo msichana kujulikana ....hivyo maisha ya huyo msichana yapo hatarini ....tukisema serikali ya dictator mzalendo ni bora kuliko serikali ya wahuni wa saa 100 wapumbavu hua mnabisha ....NARUDIA TENA MAISHA YA HUYO MSICHANA YAPO HATARINI KWA ASILIMIA 100
 
Alafu kwanini mpaka atafutwe? Kwani inamaana hata hospital hakupelekwa?

Anyway, unajua haya mambo ndyo yalee ukute na binti pamoja na ndugu zake nao wamepewa cha kwao tayari ndyomaana hii issue itaushia hewani hivihivi. Kiufupi kwasababu suala lipo mikononi mwa serikali tusifosi saana kutaka kujua limeishia wap labda kuwe na malalamiko ya muathirika wa tukio lenyewe
Ninachohisi, huyo binti na familia yake wameshapewa fidia kimya kimya, au oemgine wametekwa hadi sakata liishe. Haiwezekani asijulikane alipo.
 
Habari watanzania wote.

Nijikite moja kwa moja kwenye mada kama kichwa cha habari kilivyo.
Katika hali isiyo ya kawaida, kuna media zimeanza propaganda ambayo wao wanafikiri hatujui hesabu zao na kilichopangwa nyuma yao.

Naombeni niwaambie ukweli, yule maulid anaweza kusamehewa, lakini nyie nawaambie nyie, hamtasamehewa.

Huwezi kukubali kutumika kufanya propaganda ya kijinga juu ya uhai na mateso juu ya nafsi ya mtu.

Hata mkitumika vipi, hata mkilindwa vipi na dola, hata mkipata vipi fedha, nawaambieni kwa imani na hakika, anguko lenu, halina muda , hatuwezi kushuhudia nchi ya ajabu namna hii. Kwamba mtu atendewe unyama, na basi bora unyamaze, usimtetee, ila unageuka kuwa fisi kula hadi mzoga kupoteza haki ambayo kama muathirika angeweza japo kusalia nayo.

NB: Anguko lenu ni la asili, mmecheza pasipotakiwa kucheza.

Ayo, Bado unayo nafasi, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.


Na wewe Jambo, unaweza kufuta hii na kuomba msamaha.

NAJUA MNAAMINI NGUVU YA WALIOWATUMA, MMESAHAU NGUVU YA ASILI.

Hii tenda mngeikataa.

Hii sio Tanzania ninayoijua.
Kutojua kwamba fulani kabakwa na kulawitiwa hakuna maana kwamba hakuna aliyebakwa na kulawitiwa kwa sababu waliofanya hivyo hawakufanya hadharani na wala siyo rahisi wamjue aliyefanyiwa hivyo kwa sababu huenda anaweza kuitwa kwa jina tofauti kulingana na watu wanavyomfahamu. Hivyo, kutoka hadharani na kusema hawajui kama kuna huyo binti, siyo sababu au ushahidi kwamba hakufanyiwa hivyo kwa sababu waliofanya hivyo hawakufanya hadharani watu wakishuhudia.
 
Waandishi na wanahabari wengi ni masnich na wachumia tumbo huyo ayo mm nilifutilia mbali mpaka app yake kuna mambo anakua halipot nimebaki kua msikilizaji wa bbc swahili basi hata sijui taarifa za habari za kwenye tv na kwingine sina time nazo maana JF ina taarifa zote za muhim bila usnich.
 
Kwa kifupi shida ya mleta mada ni kakerwa na hao jamaa kitambo tabia zao za uchumia tumbo toka issue ya DP world so leo wamejaa kwenye mfumo wake😂
Yeah wewe unajua vizuri kuwasoma watu saikolojia huo ndio ukweli sasa akaona atumie fursa ya hili tukio ambalo limegusa Watanzania wengi kuwashindilia misumari ya moto😀😀😀😀😀
 
Acha kulalamika, toa taarifa ya sehemu anapopatikana kama ni yombo toa taarifa mtaa na sehemu acha propaganda.
Wewe sio mzima. Sasa wao waandishi wa habari ndio kazi yao hiyo. Au wanataka kuendelea kumdhalilisha huyo binti. Kazi ya Polisi kutafuta ukweli.
 
Alichofanyiwa yule binti ni unyama mkubwa sana, kiti ambacho kimafanywa na mnyama sio binadamu

Haya sio mambo ya kufumbia macho
Mnyama hawezi rape!

Tunaona jinsi mbwa wanavyogombana na kupelekea kuuana kwa ajili ya 'hiyo kitu', lakini mmoja wao akifanikisha 'kufunga', basi ugomvi na vita yote huisha na wengine kukaa pembeni na kusubiri.

Kwa tukio hilo basi, walichofanya hao wabaka ni ubinadamu na si unyama.
Mnyama hawezi rape.
 
Zile taarifa zao walivyo toa tu, nikajua za kupika. za kupotosha
Millard ni mshirika wa ccm na mambo yao yote.

Angalia alivyo ripoti taarifa za TLS na Mwabukusi,
kIsha angalia taarifa zake kifo cha mmiliki wa mabasi ya sauli.
 
Back
Top Bottom