Acha maneno zako wewee,kwan Kiingereza kitu gani?
Kwahvyo yoote waliyokuwa wanaongea umesikia majibu yte ni yes/no. Km kiingereza kibovu we kinakutatiza nn.
Mh,nasikiliza clouds apa millard yupo south hospital alipolazwa m to the p,nasikia ndugu zake wanapiga ung'eng'e millard na yes na no kila wakat mweh kumbe lugha imegoma.jamaa ni mmoja kati ya watangazaji hot kwa apa town,yupo makini sana na kazi yake na anaiweza,ila clouds wamsaidie hat kumsomesha nje ili a improve his language jaman duh,sio kumtumia tu mpeleken shule jamaa mkali ana confidence angejitahid lugha tu bas atafika mbali sana,nimeshangaa duh ila nimependa confidence zake mwanzo mwisho yes no tu
hivi hii clouds mbona inahangaika sana na wasanii wana masilahi gani.
hivi hii clouds mbona inahangaika sana na wasanii wana masilahi gani.
opportunists hawa clouds..mbona msiba wa yule mzee kipara au bi nyakomba mbona hawakuwa kimbelembele...
Isiyowasha hujailambaaa...??
opportunists hawa clouds..mbona msiba wa yule mzee kipara au bi nyakomba mbona hawakuwa kimbelembele...
Isiyowasha hujailambaaa...??