Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Bado radio zipo nyingi na hambagui kama mlivyosema au mnapenda tu kuiongelea clouds? Mbona sisi Team lady jaydee hatulalamiki kwa nini millard halet habar za jide? Si kwa sababu tunajua wasipoleta wao media nyingine kama Tv,newspaper, social networks n mengineyo lazima tupate habar zake? Au kama vip google utaletea matukio yote na picha juu, au hata kusoma hujui ndugu yangu
nasikitika hoja yangu niliyoipa nguvu kwa mifano hai imejibiwa kwa ushabiki na umbea wa hali ya juu...toa facts bro/csta na co kuzodoa.