Millard Ayo ni mbaguzi


nasikitika hoja yangu niliyoipa nguvu kwa mifano hai imejibiwa kwa ushabiki na umbea wa hali ya juu...toa facts bro/csta na co kuzodoa.
 
Jaman mnataka dogo afe na njaa mjin eh,,, hawez kutoa habari za kil wakat mhaya hataki we unafikiri hao wafanyakaz waclouds media
 

We we ni mbea wa hali ya juu..na kwa aina ya uandishi wako nimekugundua ni blogger flani uchwara ambae ulikua gubeli .. Nakufanyia kazi ..IPO siku yako! We tafuta umaarufu mbuzi kwa kuchafua watu! Endelea...
 
Mleta mada naona umekuja Kutangaza Kili hapa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…