Darius Tanz
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 461
- 137
Bado radio zipo nyingi na hambagui kama mlivyosema au mnapenda tu kuiongelea clouds? Mbona sisi Team lady jaydee hatulalamiki kwa nini millard halet habar za jide? Si kwa sababu tunajua wasipoleta wao media nyingine kama Tv,newspaper, social networks n mengineyo lazima tupate habar zake? Au kama vip google utaletea matukio yote na picha juu, au hata kusoma hujui ndugu yangu
Sasa kama tim jide ndo unatak kusemaje?
Jaman mnataka dogo afe na njaa mjin eh,,, hawez kutoa habari za kil wakat mhaya hataki we unafikiri hao wafanyakaz waclouds media
Feisal madinda, mtoto wa aisha madinda anamjua vzur kijana huyu mtakatifu, halafu wanapenda sana waume za watu, kwan ukiwa staa lazima uendeshe buggat au range kama jide? Kama huna huna, unapewa kluger nyeus kesho lexus, keshokutwa unapokonywa, wapi chrispin wa clouds
Mtumie hata text akutumie kwenye email yako ili mdumishe utuwenu wa nguvu:-!