Millard Ayo unatakiwa ubadilike la sivyo utapoteza mashabiki ,Mambo ya clouds usiyachanganye na blogs zako

Nimeona jamaa viewers sijui atazipatia wapi tena mana ata facebook post zenye comment nyingi zilikuwa za wcb
 
Mi nilivyoona na yeye kawapotezea WCB nikaunsubscribe kwenye acc yake youtube pamoja na kuwa mdau wake muda mrefu nimeona kuwa hayupo neutral wala impartial wanahabari kama hao ndio hatuwahitaji, maana tuashindwa kitofautisha kati ya CMG na Ayo tv
 
Mpaka watu wamekuja kutoa ushauri hapa Millard ayo ajue anapendwa, biashara haihitaji mazoea maana hata soko la online tv miaka miwili iliyopita sio hili kabisa maana sahizi kuna Dizzim online wanakuja kama moto wa nyikani, kama millard ataendelea kuwa clouds media in parimateria basi ajiandae kupambana na wapinzani/maadui wa CMG.

Ikumbukwe kuwa habari za WCB zina walaji wengi sana maana sote tunaona video zao ngapi zinakamata nambari 1 kwa kutrend, binafsi kama nikivyosema juu nimeshaunsubacribe sasa aendelee tuu aone watembeleaji wanavyopungua halafu hao tunaenda DSM online
 
Blog imekua ya udaku kama
Inamilikiwa na shigongo
 
Jamaa mjinga sana na ni muoga hajiamini yani nna wasi wasi hiyo studio yake na online tv kusaga ana share kubwa zaidi yake, unaweza kukuta yeye pale ni mshika mkia tu maana kusaga ndio zake, na ndio maana matakwa ya clouds media ndio hayo hayo ya ayo media
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…