tete'a'tete
JF-Expert Member
- Feb 10, 2010
- 472
- 64
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa warembo tu..Mkuu anaosha!...Mbona wako 'body-to-body contact bila sababu ya msingi?
Hapo kama vile kamzungushia mkono sehemu ya nyuma vile!
Huyu mdada tayari maisha bora atayaona..soon and very soon!
Unajua mkuu huwa anachungulia humu jf, sasa subiri varangati lake.....utatafuta njia ya kutokea....hehehe.....Kwa warembo tu..Mkuu anaosha!...Mbona wako 'body-to-body contact bila sababu ya msingi?
Hapo kama vile kamzungushia mkono sehemu ya nyuma vile!
Huyu mdada tayari maisha bora atayaona..soon and very soon!
Pj haya hapo kwenye red du haya mambo uko nayo makini...mbona mi sioni huo mkono kama ameuzungushia nyumba...au
waelezee hawa,kuku akienda toilet eti wanasema kajisaidia lkn akienda bata aah wanasema eti kaharisha!kwanza sion la ajabu prezdaah kuchukua kumbukumbu na vijana wake!Presidaa wetu ni mbongo halisi. Sio yeye tu anayependa vimwana hata wewe na yule mnapenda sana milupo jamani, tuwe wakweli.
Presidaa wetu ni mbongo halisi. Sio yeye tu anayependa vimwana hata wewe na yule mnapenda sana milupo jamani, tuwe wakweli.
waelezee hawa,kuku akienda toilet eti wanasema kajisaidia lkn akienda bata aah wanasema eti kaharisha!kwanza sion la ajabu prezdaah kuchukua kumbukumbu na vijana wake!
hata mie nikimuona prezdaa lazima nipige naye picha kwa ukaribu!
Presidaa wetu ni mbongo halisi. Sio yeye tu anayependa vimwana hata wewe na yule mnapenda sana milupo jamani, tuwe wakweli.
Hamna noma Maisha bora yataendelea kwako pia! Jaribu utayapata maisha bora.........waelezee hawa,kuku akienda toilet eti wanasema kajisaidia lkn akienda bata aah wanasema eti kaharisha!kwanza sion la ajabu prezdaah kuchukua kumbukumbu na vijana wake!
hata mie nikimuona prezdaa lazima nipige naye picha kwa ukaribu!