Millicom (kampuni mama ya tiGO) yanunua hisa 85% Zantel

Zantel kujiondoa etisalat imeharibu kabisa uthabiti wake kwenye huduma za intaneti, mimi mwenyewe ni shahidi, zamani intaneti ya zantel hakuna kampuni nyingine iliyokuwa ikiifikia kwa uhakika wake, hata uwe wapi ilikuwa faster na ya uhakika lakini cha ajabu tangu ichukuliwe na hiyo millicom nimeamua kuhamia mtandao mwingine ambao hata hivyo bado hauwezi kufika vile zantel ilivyokuwa wakati wa etisalat. Inavyoonekana etisalat ni kiboko kwa intanet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…