Million 7, mawazo ya biashara

Pagan Amum

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2015
Posts
1,932
Reaction score
4,403
Salama wakuu,

Kwa million 7 Dar, unaweza kufanya biashara gani?Mdogo wangu muda mrefu hajapata ajira, hivyo nimeona ni vyema nimpe kidogo ili anishughulishe.Ni jinsia ya kike.
 
Apo kachukue shamba ulime tu bro hakuna kazi ingine... miaka mitano ushaweka fuso barabarani
 
Salama wakuu,

Kwa million 7 Dar, unaweza kufanya biashara gani?Mdogo wangu muda mrefu hajapata ajira, hivyo nimeona ni vyema nimpe kidogo ili anishughulishe.Ni jinsia ya kike.
Kaka njoo tufanye biashara huku chunya, ya usagishaji wa mawe ya dhahabu, hautojuta kuingia kwenye biashara hii. Nipm tuongee kwa kirefu
 
Mfungulie duka LA magodoro .itamlipa. Au duka LA bidhaa za nyumbani lakini liwe penye mzunguko wa pesa
 
Salama wakuu,

Kwa million 7 Dar, unaweza kufanya biashara gani?Mdogo wangu muda mrefu hajapata ajira, hivyo nimeona ni vyema nimpe kidogo ili anishughulishe.Ni jinsia ya kike.
NIKUTANISHE NAYE HUYO MDOGO WAKE NTAFUNDISHA KAZI ILA FAIDA TUTAKUWA TUNAGAWANA MAANA NAMIE NATAFTA CAPITAL
 
Kuna Biashara Inahitaji Mtaji Wa Millioni Moja Tu Na Faida Utakayoipata Kila Unapotoka Pori Kuja Mjini Ni Laki Mbili Na Nusu Na Ndani Ya Mwezi Mmoja Unaweza Kwenda Mara Tatu Hadi Nne ...
ipi hiyo mkuu???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…