Hua napenda sana hyo kitu,lakini kwa m6 hebu jaribu kuchanganua inatoshaje?Mfungulieee barbarshop awe anasimamiaaa....
Mtafutie location nzuri....
Tu...6million inatosha kabisa
Awekeze kwenye biashara yangu ya cement nitamlipa faida nzuri mweziSalama wakuu,
Kwa million 7 Dar, unaweza kufanya biashara gani?Mdogo wangu muda mrefu hajapata ajira, hivyo nimeona ni vyema nimpe kidogo ili anishughulishe.Ni jinsia ya kike.
Nimeku PM kuhusu Bamia au kama unaweza elezea hapa maana ninataka kulima Bamia huko kijijini mkuuKamnunulie shamba RUVU, kisha mnunulie vifaa vya umwagiliaji, mbegu, dawa na mpe kidogo fedha ya kuwalipa wasaidizi wa kulima. Mwambie alime BAMIA ama MATANGO. Baada ya siku 75 atakuja na ujumbe tofauti na ataendelea kuvuna kw kipindi kirefu hasa hasa BAMIA.
Vijijini Kuna Fursa Nyingi Sana Ila Waliozea Mjini Kwenda Kijijini Wanaona Shida TupuHili nalo neno mkuu,kuna watu wanapiga hela vijijini wanakuja mjini kutumia na kuzuga kwenye vibiashara vyao vidogodogo