Millioni 20.

Millioni 20.

Dadio

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2012
Posts
359
Reaction score
42
Habari wanajamii hasa jukwaa hili. Ninahitaji ushauri toka kwenu juu ya ujenzi hapa Dar es salaam. Nyumba ya vyumba vitatu seating rum, jiko, public toilet na katika vyumba vitatu kimoja kiwe master. Bujeti yangu ni million 20 nataka nianze jan mwakan. Hebu nipeni ushauri wa kutosha tafadhali. Pia naomba maoni yenu juu ya bajeti yangu ili niweze jenga nyumba na mimi. Eneo la ujenzi ni maeneo ya tegeta. Karibuni.
 
Je una kiwanja tayari? kama unacho kiwanja hio hela inatosha kuinua boma tu,kupaua na mambo mengine ujipange upya
 
na gold yako bado unapanga ni aibu kwa kweli au ndo wale wala bata wa mujini afu mnaishi kwa mama
 
Mkuu 20m itakusogeza sana kama ukisimamia kwa karibu na kiwanja unacho kisha ukapiga paa la kawaida utafika mbali sana, watu wasikutishe wewe anza utaona kujenga nyumba sio kazi kubwa kama una muda kubanana na fundi
 
Mkuu 20m itakusogeza sana kama ukisimamia kwa karibu na kiwanja unacho kisha ukapiga paa la kawaida utafika mbali sana, watu wasikutishe wewe anza utaona kujenga nyumba sio kazi kubwa kama una muda kubanana na fundi
Hata hivyo ana bahati sana anaanza kujenga akiwa na 20M cash,
 
Hata hivyo ana bahati sana anaanza kujenga akiwa na 20M cash,

Inaweza kuwa disadvantage kwa upande mwingine asipokuwa makini na mafundi, vibarua na bei za vifaa kwa sababu itakuwa rahisi kwake kuchota na kulipa papo kwa hapo!
 
Inaweza kuwa disadvantage kwa upande mwingine asipokuwa makini na mafundi, vibarua na bei za vifaa kwa sababu itakuwa rahisi kwake kuchota na kulipa papo kwa hapo!
Hilo ni angalizo muhimu na lamaana sana mkuu maana ghalama za kubwa za ujenzi zisizo za lazima zinachangiwa na vitu vingi likiwemo hilo usimamizi.
 
Asanteni sana kwa anayeweza kunipigia mahesabu ya rafu ningeshukuru sana..kiwanja kipo.
 
Kwa kifupi kama kiwanja kipo na kimekaa sehemu nzuri andaa milioni 3 kwa msingi imara kabisa.
Ukishamaliza msingi tayari ushaanza ujenzi. Utaona jinsi ujenzi unavyosogea. Jitahidi sana msingi wako upate mda wa kufanya curing.
 
Asanteni sana kwa anayeweza kunipigia mahesabu ya rafu ningeshukuru sana..kiwanja kipo.

kaka kupiga estimate bila kujua ramani ni ngumu sana, labda ingejulikana hiyo nyumba ina muundo gani?
 
Kwa kifupi kama kiwanja kipo na kimekaa sehemu nzuri andaa milioni 3 kwa msingi imara kabisa.
Ukishamaliza msingi tayari ushaanza ujenzi. Utaona jinsi ujenzi unavyosogea. Jitahidi sana msingi wako upate mda wa kufanya curing.

Kama ni kuchimba msingi,ufundi,saruji,tofali,mchanga,kokoto,nondo..sidhani kama 3ml inatosha..
 
na gold yako bado unapanga ni aibu kwa kweli au ndo wale wala bata wa mujini afu mnaishi kwa mama
Kwani kupanga dhambi??we unadhani sote tukiwa na nyumba hapa mjini kutakalika??na hizi apartment watakaa nyani??Kweli wewe akili siyako ni kuazima!




Kaka umemsikia huyu majuto mperungu

Sasa hawa tutawafanyeje na sisi ndo babu zao acha watutupie mawe sisi ni mti wenye matunda hauwezi kukwepa mawe!tunawakosea wanapokuja mjini najilaumu mwenyewe!
 
Kwani kupanga dhambi??we unadhani sote tukiwa na nyumba hapa mjini kutakalika??na hizi apartment watakaa nyani??Kweli wewe akili siyako ni kuazima!



Sasa hawa tutawafanyeje na sisi ndo babu zao acha watutupie mawe sisi ni mti wenye matunda hauwezi kukwepa mawe!tunawakosea wanapokuja mjini najilaumu mwenyewe!

Labda hajui kuwa MOHAMED DEWJI naye ni mpangaji wa dear old NHC.........Kuna member aliwahi ku suggest hapa kuwa "kujenga ni woga wa maisha".........He might be right you know!
 
Gharama za ujenzi zinategemea sana ramani ya nyumba uitakayo. Hiyo hela ni ndogo sana. Inatosha kuanzia tu. Nakushauri tafuta ramani kwanza. Mpe fundi wako atakayekujengea atakupa estimates za vifaa na hivyo utaweza kutathmini gharama za ujenzi. Hivi hivi ni vigumu kujua. Utadanganywa tu.

UOTE=Dadio;7218510]Habari wanajamii hasa jukwaa hili. Ninahitaji ushauri toka kwenu juu ya ujenzi hapa Dar es salaam. Nyumba ya vyumba vitatu seating rum, jiko, public toilet na katika vyumba vitatu kimoja kiwe master. Bujeti yangu ni million 20 nataka nianze jan mwakan. Hebu nipeni ushauri wa kutosha tafadhali. Pia naomba maoni yenu juu ya bajeti yangu ili niweze jenga nyumba na mimi. Eneo la ujenzi ni maeneo ya tegeta. Karibuni.[/QUOTE]
 
sio rahisi kumaliza ila itakufikisha mbali sana
 
Labda hajui kuwa MOHAMED DEWJI naye ni mpangaji wa dear old NHC.........Kuna member aliwahi ku suggest hapa kuwa "kujenga ni woga wa maisha".........He might be right you know!
Mzungu anashangaa kuona mtu anajenga nyumba mamilioni ni upuuzi kuweka pesa katika matope!Makampuni ndiyo yanayojenga wazungu wote wamepanga!
 
Mzungu anashangaa kuona mtu anajenga nyumba mamilioni ni upuuzi kuweka pesa katika matope!Makampuni ndiyo yanayojenga wazungu wote wamepanga!

Tukifuata utumbo wote wa wazungu tutapotea,leo tutaona nyumba ni matope na kesho tutaona ushoga ni fashion,ata huyo mwandishi wa Rich dad Poor dad ana nyumba tena zaidi ya moja
 
Back
Top Bottom