pole sana bibie, cha msingi utambue kwamba mimba iliyo chini ya miezi 5 iko hatarini sana kudhurika na kemikali chache tuzipatazo kwenye milo yetu each day.
pendelea kula mboga mboga, matunda tofauti, mayai( hususani ya kienyeji), samaki au dagaa wa maji baridi( ziwani) kwa sababu wa baharini wana mercury nyingi ambayo si nzuri wakati una kiumbe ndani.
usipendelee kula maini, kwa sababu maini ndiyo yanayopambana na sumu mwilini, hivyo mabaki ya sumu katika maini ya wanyama yaweza yakawa sumu mwilini, ukila nyama hakikisha imeiva vizuri.
EPUKA VINYAJI KAMA CHAI, KAHAWA, POMBE NA VINGINEVYO AMBAVYO HUCHANGAMSHA.
naishia hapa, wengine waja!!!