korino
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,004
- 666
habari zenu wanajf! nlipata ujauzito lkn ukaharibika miez mitatu iliyopita..(ilitoka kwasababu nlitumia dawa za malaria ikiwa nna mimba ila nlikuwa cjajijua km nna mimba)na sasa nimekamata tena mimba je ni mambo gani yakuzingatia ktk utunzaji wa mimba isiharibike na je ni vyakula gani muhimu kuvila kwa muda huu wa mimba ikiwa changa!? maana naogopa hata kufanya shuhuli za nyumban km kupiga deki,kufua n.k nahis inaweza ikatoka! nisaidieni ndugu zangu