Mimba haishiki tena

mwende hosp mkafanye uchunguzi makini sana na kama hamna tatizo uwenda kilicho uwa mtoto ndo kinacho uwa na kuzuia mimba nenda uombewe kuna mapepo yanayofanya kazi iyo
 
Namshauri mleta uzi akafanye vipimo vya hormones...especially hizo za ujauzito........mara nyingi hupelekea ujuzito kutoka. All in all anahitaji vipimo vya kina. Maana tatizo sio kupata mimba tatizo lake zinatoka




 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…