Mimba haishiki tena

Mimba haishiki tena

Aspirin Anko wako alipata malaria akatibiwa. ila walimu ova dozi. alichoma sindano mchana usiku akafariki.@ Asprin

Oh God!........ May his soul rest in peace.

Pole kwa maswahibu lakini yote yaliyopangwa na Mungu ni ya Kheri.
 
Mkuu asante sana kwa kuendelea kuguswa na halo niliyonayo.

1. sijawahi kutumia vidonge au sindano ktk uzazi wa mpango. Mimi hutumia kalenda.

2. Inawezekana kabisa nimeathirika na hali ya kuondokewa na mwanangu, maana kunakioindi nilitaka kupata matatizo ya moyo, baada ya kufiwa,hosptl wakanishauri kupunguza mawazo. mwili ulikua unaishiwa nguvu moyo unaenda mbio muda wote. nilizidiwa mawazo bila kujua kuwa Nina ujauzito. wataalam wakanambia stress ndo ilisababisha mimba kutoka.

Hadi hapo uko karibu kabisa na suluhisho, wajuvi wanasema kujua tatizo ni nusu ya kulishinda. Kwa sasa, nafikiri jambo kubwa na la msingi lingekua kujali kwanza afya yako, kwa sababu hiyo hali ikiendelea tatizo litakua sio kwenye kutafuta mtoto tena bali kuahangaikia afya yako jambo ambalo huenda likazalisha tatizo lingine tena kwa shemeji yetu na wanandugu wengine. Nna imani utakaa sawa kwa Rehema na Neema za Mungu na utapata haja ya moyo wako.

Kwa sasa ningekushauri ukaachana kabisa na kuwaza mambo ya umri kwenda na kupata mtoto mwingine. Hiyo itakusaidia kuupa mwili mapumziko na utulivu wa mawazo. Jiweke karibu na Mungu kupata faraja isiyopatikana popote isipokua kwake, pata ushauri kwa wataalam wa mambo ya saikolojia na uwe na moyo mkuu!
 
Mkuu asante sana kwa kuendelea kuguswa na halo niliyonayo.

1. sijawahi kutumia vidonge au sindano ktk uzazi wa mpango. Mimi hutumia kalenda.

2. Inawezekana kabisa nimeathirika na hali ya kuondokewa na mwanangu, maana kunakioindi nilitaka kupata matatizo ya moyo, baada ya kufiwa,hosptl wakanishauri kupunguza mawazo. mwili ulikua unaishiwa nguvu moyo unaenda mbio muda wote. nilizidiwa mawazo bila kujua kuwa Nina ujauzito. wataalam wakanambia stress ndo ilisababisha mimba kutoka.

Best... Please let it go...

Maisha ni zaidi ya kuwa na watoto. Mungum anaumba sisi tunazalisha na kulea. Then Mungu hutwaa kilicho chake.

Najua inauma lakini we must accept.

Mshukuru Mungu kwa kila jambo. Zuri au baya.
 
Hadi hapo uko karibu kabisa na suluhisho, wajuvi wanasema kujua tatizo ni nusu ya kulishinda. Kwa sasa, nafikiri jambo kubwa na la msingi lingekua kujali kwanza afya yako, kwa sababu hiyo hali ikiendelea tatizo litakua sio kwenye kutafuta mtoto tena bali kuahangaikia afya yako jambo ambalo huenda likazalisha tatizo lingine tena kwa shemeji yetu na wanandugu wengine. Nna imani utakaa sawa kwa Rehema na Neema za Mungu na utapata haja ya moyo wako.

Kwa sasa ningekushauri ukaachana kabisa na kuwaza mambo ya umri kwenda na kupata mtoto mwingine. Hiyo itakusaidia kuupa mwili mapumziko na utulivu wa mawazo. Jiweke karibu na Mungu kupata faraja isiyopatikana popote isipokua kwake, pata ushauri kwa wataalam wa mambo ya saikolojia na uwe na moyo mkuu!


Umenisaidia sana, umenijenga sana, Mungu akubariki sana. nitazingatia ushauri wako, na wengine wote mlionishauri. asante Samaritan
 
Last edited by a moderator:
Mkuu asante sana kwa kuendelea kuguswa na halo niliyonayo.

1. sijawahi kutumia vidonge au sindano ktk uzazi wa mpango. Mimi hutumia kalenda.

2. Inawezekana kabisa nimeathirika na hali ya kuondokewa na mwanangu, maana kunakioindi nilitaka kupata matatizo ya moyo, baada ya kufiwa,hosptl wakanishauri kupunguza mawazo. mwili ulikua unaishiwa nguvu moyo unaenda mbio muda wote. nilizidiwa mawazo bila kujua kuwa Nina ujauzito. wataalam wakanambia stress ndo ilisababisha mimba kutoka.

Hapa ndo kuna tatizo.
Unaufanya mwili unashindwa kufanya kazi kikamilifu.
Jipe mazoezi,
Kula vizuri na ujipe furaha ya moyo,
Hata ukikutana na mumeo unakua umerelax inasaidia.
 
Kiyaalam Nikuulize kwanza uyo mtt wa miaka minane mkubwa ni wa mwanaume uliyenae saiv au tofauti?

Usiniambie mwanaume anaweza kuwa sababu ya miscarriages
Khantwe, ungelitafakari kwa kina hili swali la jojoe35 ungeelewa mantiki yake. Take time and think about it.

Imagine wewe unaishi na mwanaume, ukiwa na mtoto tayari kwa mwanaume mweingine. Na mmeo ana ndoto kubwa sana ya kupata mtoto. na wewe ukaijua kiu yake. Mkapata mtoto bahati mbaya akafariki........... ukamwona mmeo alivyoumia moyo.... anavyosononeka.... anavyotoa michozi.... then ukapata mimba ikaharibika.... akaumia moyo tena.... Then mimba ikagoma kukamata..... Think Khantwe.... think!!!

Ngoja nimwite wife wangu mshauri nasaha BADILI TABIA aje amfanyie maombi huyu mtumishi
 
Last edited by a moderator:
Hapa ndo kuna tatizo.
Unaufanya mwili unashindwa kufanya kazi kikamilifu.
Jipe mazoezi,
Kula vizuri na ujipe furaha ya moyo,
Hata ukikutana na mumeo unakua umerelax inasaidia.

Asante kwa ushauri Honest
 
Last edited by a moderator:
wadau bear in minds kwamba katangaza SHIDA/TATIZO lake ili apate USHAURI,wala hakutangaza opportunity zingine mnazojitangazia wenyewe.
 
Khantwe, ungelitafakari kwa kina hili swali la jojoe35 ungeelewa mantiki yake. Take time and think about it.

Imagine wewe unaishi na mwanaume, ukiwa na mtoto tayari kwa mwanaume mweingine. Na mmeo ana ndoto kubwa sana ya kupata mtoto. na wewe ukaijua kiu yake. Mkapata mtoto bahati mbaya akafariki........... ukamwona mmeo alivyoumia moyo.... anavyosononeka.... anavyotoa michozi.... then ukapata mimba ikaharibika.... akaumia moyo tena.... Then mimba ikagoma kukamata..... Think Khantwe.... think!!!

Ngoja nimwite wife wangu mshauri nasaha BADILI TABIA aje amfanyie maombi huyu mtumishi

Aspirin nilishamjibu JOJo. na amenishauri vzr pia.thank Jojo3
 
Last edited by a moderator:
hofu yangu isije kuwa unamchango!!!! ulishajichunguza katika familia unayotoka...kuna dawa za michango tena bure kabisa...wacheki wabibi wa koo zenu..
pole sana
 
Mkuu asante sana kwa kuendelea kuguswa na halo niliyonayo.

1. sijawahi kutumia vidonge au sindano ktk uzazi wa mpango. Mimi hutumia kalenda.

2. Inawezekana kabisa nimeathirika na hali ya kuondokewa na mwanangu, maana kunakioindi nilitaka kupata matatizo ya moyo, baada ya kufiwa,hosptl wakanishauri kupunguza mawazo. mwili ulikua unaishiwa nguvu moyo unaenda mbio muda wote. nilizidiwa mawazo bila kujua kuwa Nina ujauzito. wataalam wakanambia stress ndo ilisababisha mimba kutoka.

Daah pole sana dada.

Ila amini rizk haijasimama bado. Kuwa na subra tu, muda ukifika utapata wtt wako wa kukutosha In sha Allah
 
Pole bibie.@.@Bi nyakomba kwa hayo matatizo kwa sababu umefiwa na Mwanao ninakupa mimi offer ya dawa yangu ukitaka ushike mimba Kila siku asubuhi unapoa amka chukuwa kijiko 1 kidogo cha unga wa mdalasini changanya na kijiko 1 kikubwa cha Asali ya nyuki wa aina yoyoe ile wawe ni nyuki wakubwa au wadogo koroga vizuri kula asubuhi kabla ya kula kitu kila siku kwa muda wa miezi 3 utaweza kushika mimba.Na ukishika mimba uje unipe mrejesho wako. Nipatie tarehe ya siku yako ya kuanza Damu ya hedhi nitakuambia kitu cha kufanya ili uweze kushikamimba. Na ukitaka kushika mimba Haraka nitafute mimi kwa kubonyea hapa.Mawasiliano
 

Attachments

  • asali-mdarasini.png
    asali-mdarasini.png
    34.9 KB · Views: 253
Back
Top Bottom