Mimba ikianza Binadamu wote huanza na Jinsia ya Kike

Tengua kauli yako

Mkuu hayo aliyoyaandika kiongozi ni ya kweli. kama huamini chukua kioo na uangalie kwenye ile ngozi inayozibeba korodani kama haina kitu kama kamshono. Kwa maana nyingine badala ya kuwa na mashavu kama papuchi ya mwanamke wewe yameunganishwa na Hako kamshono . kuwa pole na punguza hasira.
 
Wachangiaji mnaohoji elimu ya mtoa mada na wale wengine ambao mnakejeli kwa kusema mtoa mada amezimua na kiroba mtakuwa mnakosea kwa sababu hamjachukua muda kutafiti alichokiandika mtoa. Tumieni busara kutolea maoni suala hili. Alternatively
CHUKUENI KIOO NA MJICHUNGUZE VIZURI. UTAGUNDUA KWA NINI MTOA UZI ANASEMA HIVYO
 
Mlaleo, unajua sasa hawa wana jf wametekwa na siasa, kutwa ukawa na ccm, vingine wanasahau

Mkuu JF sasa imekuwa ni Lowassa tu mtu mwenyewe Lowassa sio Muongeaji... so kinachofuata ni uzushi uzushi tu mimi nishachoka kufuatilia nasubiri time zifike tu
 
Alaaaaaaa,hapa umenipa Jibu.
Nilitaka kujiuliza hivi MASHOGA chanzo chake nini?
Kumbe wakati wa kubadilika wengine wanabadilika viungo tu Hormones,Genes na Cadet zinagoma kurudi ndio wanakuwa mashoga.
Aisee hii kali.

Kaka, hii kitu ni kweli kabisa wote tunakuwa na umbile la kike ila kutokana na zile hormone za kike zikiwa nyingi zaidi ya kiume unabaki mwanamke na zikizidi za kiume kuliko za kike, unakuwa dume, na hata hivyo nyingine zinaibuka ukubwani mfano akina mama kuwa ndevu na mambo yao kidume dume, utasikia jike dume lile, ila hii nadharia ni kweli mie nilisoma pcb na nilikutana nayo kwenye vitabu mbali mbali vya bios
 
This theory is only applicable kwa mashoga


Ukitaka kueleweka vizuri siku nyingine weka msimamo wako kabisa juu ya mada unayo-copy na ku-paste. Sasa tuambie msimamo wako kati ya hii science mpya na ile ya kuwepo kwa mbegu ya kike na ya kiume hata kabla ya kiumbe ku-form.
 
Wanasayansi wanaamini kuwa jambo lolote likisemwa kuwa ni Wanasayansi wamegundua basi litaaminiwa.
 
Wanasayansi wanaamini kuwa jambo lolote likisemwa kuwa ni Wanasayansi wamegundua basi litaaminiwa.

Nmepitia koment za watu wote nimegundua kitu kimoja. Watanzania wameharibiwa na siasa pamoja na utani mwingi. Yaani watu wanaleta siasa mpaka kwenye sayansi, no wonder ndio maana tupo nyuma kwenye technolojia. Nmeskitika sana kuona mtoa mada ameleta mada yake kwa nia njema tu ilikuelimisha watu but people wamemtukana !
Watanzania inabid tusome na sio kupayuka payuka kusiko kuwa na maana. Watu wengi wamechangia with mediocre comments kiasi cha kwamba unaweza kujiuliza hivi tutafika kweli watanzania kwa mawazo ya namna hii?!
My take hyo theory ipo sahihi kabisa, ni swala la wewe kutafta vitabu na kujisomea ili uje kuchallenge kisayansi zaidi na si kijinga jinga kama baadhi ya watu wengi waliocomment !
 

It's the best analysis. Keep it up!
 
Ndebelile kikwetu, kinyakyusa Mmaaaaa mi sikuwa demu ww mtoa post
 

Sijaona sababu ya wewe kutukana!!, wewe ndio mwenye matatizo, kilichofanyika wakuu wamejua nini unacho kipoint, binafsi hata mwanzo tu nimejua nini uelekeo wako.. ukikataa basi ila tunajua unataka kubadilishia gia kitonga.
 
Jamani kama kuna ka ukweli hivi embu chukueni kioo jitazameni.
 

Well said MKUU. Dini zote zmesambazwa through fear and intimidation to non believers !
 
Wanasayansi wanaamini kuwa jambo lolote likisemwa kuwa ni Wanasayansi wamegundua basi litaaminiwa.

Yeah kwa sababu linakuwa na Uthibitisho tofauti na Watu wa Dini wao husema Wameoteshwa... Ndio Maana mambo yao hayaaminiki sana na wao huwa wanakazia kwenye Kuwatisha Wasio Amini hata kuwaambia kuwa Watachomwa na Moto usiozimika... Alimradi wapate kuaminiwa.... Sayansi mambo yake yana evidance zake...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…