imba wimbo wa sikuukuuuu siku ile ya kuosha dhambi za ngu kuuuuuu
umwambie Mungu ahsante ...atakaekushauri kutoa na alaaniwe maisha awe mwana jf ama lah na akiwa mwanamke na asipate mtoto milele
Mkuu nakushauri msitoe mimba labda tu kama hakuna solution nyingine ambayo mkeo atabaki salama wakati wa kulea mimba na hatimaye kujifungua. kama walivyoshauri wadau hapo juu, waone wataalamu watakushauri ipasavyo. nimejifunza mengi sana kuhusu utoaji wa Mimba kwa walio kwenye ndoa, si jambo jema hata kidogo. Namuombea kwa Mungu mkeo apate uzima, tena uzima tele amuwezeshe kubeba hicho kiumbe kisicho hatia kwa salama na hatimaye ajifugea salama - inshalla.
usitoe lea bwana,nilizaliwa kwa upasuaji na mwaka mmoja baadae mdogo wangu akazaliwa...na kulikuwa hamna shida yoyote,wanasema ni chances tu za kupata complication hawamaanishi kila mtu atapata complication akibeba.
tusibahatishe,eti kwakuwa wewe ulipona by chance nawengine waendelee kufanya uzembe.hakuna nenda hospital wamtoe hiyo mimba unazidi kuchelewa.
P didy dini ina mipaka yake ... Kama mimba inahatarisha maisha ya mama ... Hakuna alternative nyingine ...
Ushauri kwa mtoa mada ..nenda na mkeo clinic wakamuangalie vizuri
imba wimbo wa sikuukuuuu siku ile ya kuosha dhambi za ngu kuuuuuu
umwambie Mungu ahsante ...atakaekushauri kutoa na alaaniwe maisha awe mwana jf ama lah na akiwa mwanamke na asipate mtoto milele
Hivi kutoa mimba kunatofauti gani na kutumia vidonge ili kuzuia mimba au kuvaa kondomu siku ya kupata mimba mwanamke?
siku zote mtu aombapo ushauri huwa ana jibu anaolifikiria tayari,najua una nia ya kutoa hiyo mimba ila basi tu uinatafuta sapot,kwa ushauri wangu ni bora avumilie kuliko kutoa hiyo mimba maana ni hatari kwa maisha yake,atapoteza uhai hivihivi anajiona amuache mtoto wake ana teseka.binafsi sishauri kutoa mimba.MKE WANGU ANA MTOTO WA MWAKA 1 NA NUSU.AFYA YAKE NI MGOGORO.NA ALIJIFUNGUA KWA UPASUAJI.NI MTOTO WETU WA 1.HOSPITAL WALISHAURI ANGALAU AKAE MIAKA 3 HADI 4 NDIO AZAE TENA.ALIKATAA KUTUMIA NJIA ZA UZAZI WA MPANGO ZILE ZA KUAMINIKA AKIHOFIA MADHARA YA NJIA HIZO.TUKAAMUA KUTUMIA KALENDA.TUMEKOSEA HESABU NA MAMA HAYUPO TAYARI KUBEBA MIMBA KWANI ITA HATARISHA MAISHA YAKE.UAMUZI TULIOFIKIA NI KUTOA MIMBA.JE TUKIENDA HOSPITALI WATATUELEWA MADAKTARI?
Nb:NAOMBA MSIHUSISHE MADA HII NA MASUALA DINI YOYOTE.TUJADILI UHALISIA KWANI NIMESHAULIZA KIDINI NA NIMEPATA MAJAWABU YAKE.NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU WATAALAMU.
kama ni tatizo kuwa alifanyiwa operation hii si sababu sana ya kutoa mimba, kikubwa ni kuwa mkeo atakuwa na weak scar hivyo muda wa kujifungua ukifika anatakiwa asianze uchungu coz anaweza rupture uterus mkichelwa hapa atapoteza damu nyingi na pengine akicheleweshwa sana anaweza poteza maisha.
Ushauri aende hospital apate ushauri na kama itashindikana basi ahudhurie clinic mara kwa mara, na pale anapopata tatizo kidogo aonane na dr. Ni vema ukawa na dr mmoja wa kumwona. Kama upo dar mwone dr kamugisha huwa anashauri vema sana.
Nakutakia malezi mema
Yale yaleeeeeeeeeeimba wimbo wa sikuukuuuu siku ile ya kuosha dhambi za ngu kuuuuuu
umwambie Mungu ahsante ...atakaekushauri kutoa na alaaniwe maisha awe mwana jf ama lah na akiwa mwanamke na asipate mtoto milele