Mke wangu anaujauzito wa mwezi mmoja huu ni ujauzito wake wa3 !Ila cha kushangaza unampeleka puta kwa kutapika mfululizo hadi amekonda kwa kutokula chakula cha kutosha kwa wiki mbili sasa ,hivi hakuna dawa za kupunguza hali hii kwa kuwa imekuwa mbaya kuliko kawaida tuliyoizoea ! Kabla hatujaenda kwa daktari najua humu ntapata nuzoefu wa kutosha!




