mimba ipo ila hakuna kiumbe ndani!

Ulifanya transviginal utrasound? ??

Kwa nini usipate second opinion????

Kuconclude kama kuna empty sac. . (Ingawa at 6 weeks kunatakiwa kuwe na heartbeat)
 
Ulifanya transviginal utrasound? ??

Kwa nini usipate second opinion????

Kuconclude kama kuna empty sac. . (Ingawa at 6 weeks kunatakiwa kuwe na heartbeat)
nmefanya ultrasound ingine jana! dr.amesema ipo sawa ila nirudie tena after 4 weeks!
 
dah namshukuru Mungu kwa yote kwan yeye ndo mjuzi zaidi! pia asanteni sana ndugu zangu kwa ushauri wenu japokuwa kwa bahat mbaya ile mimba imeshatoka ndo nmerud hosp mda c mrefu! naendelea vizuri! Mungu awabariki
 
dah namshukuru Mungu kwa yote kwan yeye ndo mjuzi zaidi! pia asanteni sana ndugu zangu kwa ushauri wenu japokuwa kwa bahat mbaya ile mimba imeshatoka ndo nmerud hosp mda c mrefu! naendelea vizuri! Mungu awabariki
Pole sana dada, utapata tu nyingine kwa wakati unaofaa, kipindi cha week 4 mpaka 12 weeks ni cha kuomba sana, nakumbuka kwa wifi yako.
 
Pole sana dada, utapata tu nyingine kwa wakati unaofaa, kipindi cha week 4 mpaka 12 weeks ni cha kuomba sana, nakumbuka kwa wifi yako.
we acha tu kaka angu maumivu makali sana!
 
Tatizo ni fikra zako tu. Kwanza walishaanza kukuambia hutazaa tena. Wengine wakakupa mawazo mabovu. Ndo maana weye ukajiita msichana.
Sasa, tulia tuli. Ka uliye naye ni bwana wako kakuoa, usiogope, nenda wakaitoe hiyo ya uongo. Mfuko ujiandae kupokea nyingine nawe utaipata inshallah.
 
mh
 
we acha tu kaka angu maumivu makali sana!
Usijali, yatapita tu na wala usidhani ni ugonjwa au kasoro flani,ni nature tu. Kuna pacent kubwa inatokea hivyo ndio maana wanawake wengi wanashauriwa wasitangaze ujauzito wao kwa watu wengi kabla hajavuka miezi 3. Usiwaze sana likakuletea stress kwenye utafutaji ujao. relax.
 
sawa kaka asante kwa ushauri
 
ndo inakuwaje hiyo na nifanye nn ili ictokee tena? ushauri pls
Sababu hasa haijulikani ila kwa ufupi ni mambo ya chromosomes au niseme genetics. Yako nje ya uwezo wa kibinaadamu. Cha msingi fuata ushauri uliopewa na daktari, atakuwa amekwambia kuhusu kurudi kupima kila baada ya mda fulani, pia amekushauri suala la kutobeba mimba kwa sasa. Huwa inatokea nimeshashuhudia
 
Hata Mimi ishanitokea
 
Could be pseudo pregnancy R/o fibroid japo hujaeleweka what is mimba where does it found unaposema hakuna kitu ndan unamaanisha ndan gan
 
dah namshukuru Mungu kwa yote kwan yeye ndo mjuzi zaidi! pia asanteni sana ndugu zangu kwa ushauri wenu japokuwa kwa bahat mbaya ile mimba imeshatoka ndo nmerud hosp mda c mrefu! naendelea vizuri! Mungu awabariki
Pole dia mi pia ilishanitokea hiyo na huwa inatokea kama mdau hapo alivyosema mbegu hazikurutubishwa vizuri ila Dr alisema huwa hakuna historia kwamba brighted ovum huwa inajirudia pole sana najua inavyouma duh ..mungu atakusaidia
 
Yah wanasemaga eti kimimba kinajitengeneza cha uongo yani huwa inauma sana atapata nyngine
 
Mtoto wa kike..1-5yrs
Binti..6-12yrs
Msichana..14-22
Mwanamke,,26-35
Miaka 30 ni Mwanake sio msichana.

khs Mada tajwa mezani
Washauri wnaendelea kuja.
Pole kwa mshtuko
Sasa mimi mwenye 25 na fit wap?
 
Hivi huwa kuna vipimo vya kujua mwanamke ametoa mimba ngap toka usichana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…