mimba ipo ila hakuna kiumbe ndani!

Ulifanya transviginal utrasound? ??

Kwa nini usipate second opinion????

Kuconclude kama kuna empty sac. . (Ingawa at 6 weeks kunatakiwa kuwe na heartbeat)
Wiki sita kuna kuwa na hatbit ngoja nirudi shule
 
Aaah sorry kumbe nlichangiaga Uzi wako...
 

PSEUDO PREGNANCY
 
Nipe theory b4 ya clinical ninachojua mm organogenesis start at 12 wiks sasa hizo 6 zako prove it here
At six weeks heartbeat unaiona. Kwa transv us.......

Nishapima mara kadhaa.......
 
Pole dia mi pia ilishanitokea hiyo na huwa inatokea kama mdau hapo alivyosema mbegu hazikurutubishwa vizuri ila Dr alisema huwa hakuna historia kwamba brighted ovum huwa inajirudia pole sana najua inavyouma duh ..mungu atakusaidia
asante mpnz wangu nashukuru naendelea vizuri! pole na ww! naogopa hata kubeba tena jamani yaan we acha tu! nahisi nikibeba tena itakuwa hvhv
 
asante sana kaka
 
Wana sema asilimia 10 mpaka 25 ya wanawake kupata miscarriage. Kwa hiyo ni jambo la kawaida tu mamake . Itapita tu.

Hujui mwenyezi Mungu kakuepusha na nini. Shukuru kwa kila jambo . Ukiwa tayari jaribu tena.
 
Kwanza kabisa wewe sio Msichana na iwe mwanzo na mwisho kujiita msichana na ukirudia tena kujiita msichana ndio utanijua vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…