mimba kuharibika

mimba kuharibika

RAYHAN

Member
Joined
May 12, 2013
Posts
21
Reaction score
9
halooo.. wapendwa naomba msaada wa kujua hili,ni9na shemeji yangu ambae alikuwa na ujauzito,na baada ya kufikisha miezi miwili ujauzito ule ume haribika tatizo hili lina sababishwa na nini? msaada wenu wana jamii.
 
Aende hospital kwanza ili kama ni wa kusafishwa afanyiwe hivyo then atapatiwa matibabu mengine. Mpe pole.
 
Back
Top Bottom