halooo.. wapendwa naomba msaada wa kujua hili,ni9na shemeji yangu ambae alikuwa na ujauzito,na baada ya kufikisha miezi miwili ujauzito ule ume haribika tatizo hili lina sababishwa na nini? msaada wenu wana jamii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.