Mimba kutoka limekaa vp wadau

Mimba kutoka limekaa vp wadau

kikaragosi

Senior Member
Joined
Nov 14, 2010
Posts
112
Reaction score
10
Mwezi wa pili mpz wangu aliniambia mimba imetoka ikiwa na wiki 5 na kwa mujibu wa ilo swala alisema eti amekunywa dawa cz alikuwa anaumwa tumbo,sasa alienda hospita akasafishwa na kipindi hizo mie nlikuwa safarini.Tatzo c mimba kutoka au ameamua kutoa mwenywe thn ajifanye imetoka ila toka siku hiyo aliniambia eti ameambiwa na doctor akae miezi mi 3 bila kusex,kidume nimevumilia sasa naomba game anasema hana hamu kabisaaa anaic ana hofu ya ile mimba. Je wadau ni kweli mimba ikitoka au kutoa inachukua miezi 3 ndo anarihicwa sex au ndo napigwa changa?
 
Back
Top Bottom