lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 166
Mkuu hili swala liko serious siyo la kufanyia utani,Ana takiwa kuwekewa jerk tumboni ili kum boost mtoto juu[emoji41][emoji41]
Majibu ya doctor ni kwamba itolewe,sa inakuwa ngumu kidogo mkuuHili swali angeulizwa dokta mwenyewe kabla ya kuja huku.
Siyo kila wakati ni wa masihara kama hujui ni vema utulie mleta mada apate msaadaAna takiwa kuwekewa jerk tumboni ili kum boost mtoto juu[emoji41][emoji41]
Kama hakuna madhara anayoyapata muhusika pamoja na kuambiwa hakuna mabadiliko...anaweza endelea kusubiri mpaka atakapofikisha miezi 9 kwani hata vipimo huwa vinakosea au kuwa na hitilafu katika utendaji kazi wake.Majibu ya doctor ni kwamba itolewe,sa inakuwa ngumu kidogo mkuu
Inaumiza sana mana anakaa akidhani labda itaanza kujua!Kikwetu inaitwa "hotay" mimba inaweza kukaa tumboni miaka mingi haikui ila kitaalamu sijawahisikia kitu kama hicho
Akikaa nayo mpaka miezi tisa mwisho wake itakuwa nn mkuu?Kama hakuna madhara anayoyapata muhusika pamoja na kuambiwa hakuna mabadiliko...anaweza endelea kusubiri mpaka atakapofikisha miezi 9 kwani hata vipimo huwa vinakosea au kuwa na hitilafu katika utendaji kazi wake.
Akikaa nayo mpaka miezi tisa mwisho wake itakuwa nn mkuu?
Congratulations,Ana takiwa kuwekewa jerk tumboni ili kum boost mtoto juu[emoji41][emoji41]
Vipimo vinasemaje kuhusu uhai wa kiumbe aliyepo ndani?Habarini za Asubuhi wapendwa naomba kuuliza hivi nini kinasababisha mimba kutokukuwa?nina ndugu yangu ni mjamzito wa miezi mi tatu,ila kila anapoenda kwa doctor anaambiwa hakuna mabadiliko yani mtoto haongezeki,nini tatizo wapendwa naomba masaada wenu wa haraka.
Kina uhai ila ndo hivyo hakuna mabadiliko mkuuVipimo vinasemaje kuhusu uhai wa kiumbe aliyepo ndani?
Mathika" unaweza kuzunguka makanisa yote.Nenda kwa wachungaji waombe ikue
Nina maana aende kanisan akaonane na mchungaji sasa kama daktar kashindwa nenda akaombeweMathika" unaweza kuzunguka makanisa yote.
Sawa mathika:tutafanya hivyoNina maana aende kanisan akaonane na mchungaji sasa kama daktar kashindwa nenda akaombewe
Sawa mathika:tutafanya hivyoNina maana aende kanisan akaonane na mchungaji sasa kama daktar kashindwa nenda akaombewe
bullshitCongratulations,
You are now The World's Best Stupid person of 2018..