lady mmarangu
JF-Expert Member
- Dec 7, 2015
- 306
- 166
Habarini za Asubuhi wapendwa naomba kuuliza hivi nini kinasababisha mimba kutokukuwa?nina ndugu yangu ni mjamzito wa miezi mi tatu,ila kila anapoenda kwa doctor anaambiwa hakuna mabadiliko yani mtoto haongezeki,nini tatizo wapendwa naomba masaada wenu wa haraka.