kelenyende
Senior Member
- Aug 24, 2017
- 163
- 153
Acha utoto unamjua Mungu kweli muoe huyo dadaSasa hapa siwezi Kurisk, itabidi nimyeyushe huyo demu kiaina. Inabidi nitafute Demu mwingine.
Huyo Demu itabidi asubiri mtu mwingine.
Maana tayari ana mtoto wa kwanza alizaa na mtu mwingine na hakukuwa na tatizo.
Sasa naona hapa kuna vile alichakachua, labda alitoa mimba au alishawahi kupatwa na ugonjwa wa Zinaa.
Imekula kwake, Inaniuma sana ila siwezi kusubiri mwaka mzima halafu tatizo lijirudie. Bora abaki