Mimba ya Aunt Ezekiel yazidi kuzua utata juu ya aliyempa mimba

Kama Nilivyoandika Hapo Na Nina Hakika Nalo 100%. Sibahatishi Mkuu Ya Kile Nikiandikacho Humu Na Hata Yeye Akisoma Hii Post Yangu Aibu Itamshika. Na Haya Ni Machache Tu Mkuu au Unataka Nikuzidishie Dozi Yake Ufaidike Zaidi?

Naomba uzidishe dozi😀
 

Mkuu mbona yamekutoka hivyo...?
 

Hata kama Bahati mbaya Nyalandu akachukua, huyu atabaki kua Mchepuko a.k.a Mlupo tu. First Lady ni FARAJA KOTA!!
 
Mkuu mbona yamekutoka hivyo...?

Soma Kichwa Cha Habari Na Ukishakielewa Njoo Tena Uniulize Hili Swali Lako La Ki POPOMA. Hata Mgombea Urais Kwa Tiketi Ya Republican Miaka 7 Iliyopita Dada Sarah Palin Alipowekwa Hadharani Moja Ya Kitu Kilichomwangusha Ni Skendo Yake Kubwa Ya Kutoa Mimba Mbili Na Hapo Hapo Akajitoa Ktk Kinyang'anyiro Na Wenzetu Wamarekani Hufuatilia Hadi Vitu Vya Ndani Vya Muhusika Ili Asije Kuwatia Aibu Akiwa Madarakani Hivyo Nami Kwa Kusikia Kuwa Eti Huyo Bibie Atakuwa First Lady Nikaamua Kufanya Kile Ambacho Taifa Kubwa Na Tunalolitegemea La Marekani Hufanya Kwa Wanasiasa.
 
Kama Nilivyoandika Hapo Na Nina Hakika Nalo 100%. Sibahatishi Mkuu Ya Kile Nikiandikacho Humu Na Hata Yeye Akisoma Hii Post Yangu Aibu Itamshika. Na Haya Ni Machache Tu Mkuu au Unataka Nikuzidishie Dozi Yake Ufaidike Zaidi?

Uhakika 100% manake na wewe ulishamkwangua mk***u.
 
Hivi mda wa kufatilia haya makitu,sijui nani kalala na nani,cjui mimba ni huyu sio ya yule mnaupataga wapi.?
 
Huyo pindi aitwaye ant mara sijui ezekieli ni nani jamani au jikedume maana majinayake siyaelewi ninani huyo mtu
 
Hakuna na haitatokea yeye kuwa waziri kuwa raisi
 
mods itendeeni haki Jf,huu uzi ulikuwa kule jukwaa la celebrities ,mmeutoa kule mmeuleta hapa forum ya siasa hata sielewi kwa sababu ipi,Waziri anayezungumzwa hapa ni mme wa Faraja,kwa hiyo hata awe president first lady atakuwa Faraja,mods mmegeuza jukwaa la siasa pia la udaku,kazi yenu imekuwa kutoa topic ngumu,zenye kufumbua macho na kuweka za udaku tu,
 
Mhhhhh pole maana mimi mwenzenu bado sijashawishika kucheza na hiyo kitu? Nina kinyaa balaaa. Ila kwa taarifa za kwenye mitandao, siku hizi wadada wanaotoa hiyo kitu sio huyo tu wako wengi na wamejihalalishia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…