well said mkuu.Huyu ni wewe huyu!!!
[emoji2]Hahahhhh mwambie alee mimba ya mwanaume mwenzake
[emoji121]Habari zenu wadau!!
Kuna Binti mmoja!!mpenzi wa Rafiki yangu kipenzi!! Jana waligegedana saana cha ajabu ambacho jamaa alichonieleza ni kwamba baada ya kama Nusu SAA Bi Dada akaanza kutapika na kichefu chefu cha kufa MTU et Binti anadai ana mimba ya jamaa hata lisaa halijaisha!!! Alivyonielezea nikaona isiwe taabu ngoja niingie jukwaa la wajuvi wa mambo waniongezee maarifa!! Inawezekana kweli? Hapo imekaaje Wadau!! Naombeni wajuvi na wajuzi juu ya hili mtusaidie!!!
Ahsanten!!
Ahsante kwa mchango wako LadyAJ,niteleta mrejesho maana Leo tunaenda kumchek Daktari wa maswala ya Uzazi!!!!Mwambieni uyo binti asimpe balaa kijana wa watu, kuhusu kutapika yaweza kuwa ana kinyaa tu lakini si mimba, ila na uyo mwanaume nae bwege yaani mimba ya aina gani hiyo ya dk hizo hizo bibie kujua tayari kanasa labda ya kimasai
Tatzo lako umechangia kwa Kuhukumu bila kutoa Gemin reasons!!!!well said mkuu.
Inaonekana jamaa anampenda sana huyo mwanamke.
Mm nahic huyo binti kamaliza 4m4 mwaka jana halafu akafeli.
Mwanamke mjanja ingepita km wiki 3 hiv akamwambia jamaa.
Hawa wanawake ni hatari sana. Unaweza kulea watoto kumbe siyo wako
Kijana!! Kuongea saana huwezi Ku gain kitu nadhan kusikiliza inaweza kukusaidia kisikia kupata maarifa toka kwa waliokupita kitaalima juu ya maswala usio yaelewa kwa Undani!!!!Na mpigwe sana na walimu,watu wenye akili pumba kama zako hko mashuleni
Bro hilo ni hitimisho sio proof ya kisayansi!!!! Hata hivo ahsante kwa Kuja!!!Pole sana km ni ww. Mm nilifikiri huenda jamaa alikuwa anapiga tangia siku nyingi kwahiyo kwa kauli hiyo ningeamini huenda mwanamke aliogopa kumuambia jamaa.
Kwa daktari mtapata jibu lkn vipimo kutambua mimba ya nani lbda usibiri mtoto azaliwe upime DNA.
Dk atakuambia muda wa mimba. Yaan mkuu siku hiyo hiyo unapiga na mwanamke anakuambia ana mimba? Tena na dalili zinaonesha.
Hongera sana kijana. Wakipatakana vijana km ww 100 tu tz hakutakuwepo na single mother kbsa.
Nakushauri lea mimba na mama yake mpaka mtoto atakapozaliwa na uweke ndani kbsa. Usisikilize maneno ya watu wanasema nn.
KITANDA HAKIZAI HARAMU. Weka ndani uendelee kula papuchi kwa raha zako
Kumbe ukikosa papuchi siku nyingi. Siku ukipata akili huwa zinapingua kbsa. Hii papuchi bana ndiyo maana inauzwa.
MAWAZO MCHANGANYIKO
Pole sana.Bro hilo ni hitimisho sio proof ya kisayansi!!!! Hata hivo ahsante kwa Kuja!!!
Sasa mkuu ww ulikuwa unataka nn? Mm nafikiri ww ndiyo mhusika wa mimba ya dk 30.[emoji120]
Ushindwe nawewe kumuhusisha Roho mtakatifu kwenye ushenziLabda imeingia kwa uwezo wa roho mtakatifu
Huyu atakuchosha tu, achana nae mkuu anataka ushauri alafu anabisha si angeikubali tu iyo mimba asubiri DNA ya kisayansi mtoto akizaliwa ila mimi na experience niliyonayo juu ya kuzaa sijawahi pitia hiyo hali ila nnachofahamu mwanamke kutapika baada ya tendo yaweza kuwa kabla hajarushwa rushwa bibie alishiba sana (unavyojua ukishiba sana ukapanda gari masafa marefu kwenye bus ukawa unarushwa rushwa) unaweza jikuta unaishia kutapika, au bibie ana kinyaa sperm zimemchefua akapata kichefuchefu na kutapika, acha abambikwe kulea 9 months si kitu mchezo mchezoSasa mkuu ww ulikuwa unataka nn? Mm nafikiri ww ndiyo mhusika wa mimba ya dk 30.
Naona umekomaa na hitimisho la kisayansi.
Mkuu yaani siku ya kwanza tu. Tena baada ya kumaliza tendo unaambiwa ana mimba yako.
Lbda km siku za nyuma ulikuwa unapiga.
Hii haitaji hata uthibisho wa kisayansi. Halafu mkuu umekomaa yaan humu ndani unabishana na kila mtu kuwa unataka uthibitisho wa kisayansi.
Unataka uelezwe jinsi sperm zinavyoingia, .... Jinsi mimba inavyotungwa n.k
Ww utakuwa mara yako ya kwanza kufanya mapenzi.