Mimba ya dakika 30

Mimba ya dakika 30

yaani huyo manzi ni muongo total hakunaga kkitu kama hicho miamba inaanza dalili baada ya week mojaa. huyo manzi na yeye awe na huruma
 
Huyu atakuchosha tu, achana nae mkuu anataka ushauri alafu anabisha si angeikubali tu iyo mimba asubiri DNA ya kisayansi mtoto akizaliwa ila mimi na experience niliyonayo juu ya kuzaa sijawahi pitia hiyo hali ila nnachofahamu mwanamke kutapika baada ya tendo yaweza kuwa kabla hajarushwa rushwa bibie alishiba sana (unavyojua ukishiba sana ukapanda gari masafa marefu kwenye bus ukawa unarushwa rushwa) unaweza jikuta unaishia kutapika, au bibie ana kinyaa sperm zimemchefua akapata kichefuchefu na kutapika, acha abambikwe kulea 9 months si kitu mchezo mchezo
Ahsante
 
Huyu atakuchosha tu, achana nae mkuu anataka ushauri alafu anabisha si angeikubali tu iyo mimba asubiri DNA ya kisayansi mtoto akizaliwa ila mimi na experience niliyonayo juu ya kuzaa sijawahi pitia hiyo hali ila nnachofahamu mwanamke kutapika baada ya tendo yaweza kuwa kabla hajarushwa rushwa bibie alishiba sana (unavyojua ukishiba sana ukapanda gari masafa marefu kwenye bus ukawa unarushwa rushwa) unaweza jikuta unaishia kutapika, au bibie ana kinyaa sperm zimemchefua akapata kichefuchefu na kutapika, acha abambikwe kulea 9 months si kitu mchezo mchezo
Nimekupata.
Nishampuuza siku nyingi. Anachosha
 
Kwani ndiyo Mara ya kwanza kusex?may be alikua nayo tangu zamani ya huyo huyo jamaaa
 
binti alisema Ana mimba au alisema Ana mimba ya huyo jamaa wako?
maana hizi ni Sentensi mbili tofauti
 
Kwa kawaida kupatwa kwa yai la kike hutokea eneo la mirija ya falopio, na yai la kiume huchukua kati ya dk 30 mpaka 45 kufika eneo hilo. Kama mayai yakikutana 'na' yakaungana, huchukua takribani masaa 12 kutengeneza kijusi (zygote). Inakadiriwa kuwa inachukua siku 6 kwa kijusi (blastocyst) kuanza kujipandikiza kwene ukuta wa mji wa mimba (endometrium) na siku ya saba hadi ya kumi ndo upandikizaji huwa wa mafanikio.
Homoni ambayo hupimwa kwene damu au mkojo (chorionic gonadotropin 'hCG') huanza kutolewa na mwili siku ya sita, 6. Vipimo vya mimba vinavyotumika majumbani huwa na uwezo mkubwa (high sensitivity) ya kutambua uwepo wa mimba wiki inayofuata baada ya kuikosa period.
Katika hali ya kawaida, si rahisi kutambua au 'kudetect' mimba mara tu baada ya kujamiiana
Nionavyo mimi
*nimeshindwa kuyajua majina ya kiswahili ya blastosyt, zugote. Ndio maana nimetumia neno kijusi
 
Back
Top Bottom