Mimba ya mwanamke imetokea kunipenda mimi lakini naishi kwa wasiwasi. Naombeni ushauri wenu

Mimba ya mwanamke imetokea kunipenda mimi lakini naishi kwa wasiwasi. Naombeni ushauri wenu

Candela

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2021
Posts
817
Reaction score
2,180
Iko hivi, hapa zipo 4 apartments, yangu ipo Mwanzo kabisa. Huyu mke wa mtu alikuwa analeta mazoea na ikaribu usio na ulazima. Full kunichekea kila akiniona.

Anaweza kurudi na mumewe anaweza kuniita hata usiku anasema amenimiss na jamaa anasikia kabisa.

Fast forward jamaa kampiga mimba, kimbembe sasa demu anaweka kama mimba yake imenipenda mimi. Juzi kaamka saa 8 usiku kaja kunigongea akiwa na mumewe anataka kunihug ndio apate usingizi.

Asubuhi yake kaniamsha kasimama dirishani anaweka mikono kabisa aone ndani.

Sasa hivi imekuwa too much anaweza kutoka ndani akamwacha mumewe anakuja kukaa kwangu.

Kiukweli naogopa jamaa anawaza nini na huyu dada sijawahi mtongoza wala kumtamani coz sinaga moyo ya kula demu naejua analiwa na mtu fulani.

Msaada wadau nafikiria kuhama lakini kodi nimelipa september inaisha september 2025.
 
Iko hivi, hapa zipo 4 apartments, yangu ipo Mwanzo kabisa. Huyu mke wa mtu alikuwa analeta mazoea na ikaribu usio na ulazima. Full kunichekea kila akiniona. Anaweza kurudi na mumewe anaweza kuniita hata usiku anasema amenimiss na jamaa anasikia kabisa.

Fast forward jamaa kampiga mimba, kimbembe sasa demu anaweka kama mimba yake imenipenda mimi. Juzi kaamka saa 8 usiku kaja kunigongea akiwa na mumewe anataka kunihug ndio apatr usingizi.
Asubuhi yake kaniamsha kasimama dirishani anaweka mikono kabisa aone ndani.
Sasa hivi imekuwa too much anaweza kutoka ndani akamwacha mumewe anakuja kukaa kwangu.
Kiukweli naogopa jamaa anawaza nini na huyu dada sijawahi mtongoza wala kumtamani coz sinaga moyo ya kula demu naejua analiwa na mtu fulani.
Msaada wadau nafikiria kuhama lakini kodi nimelipa september inaisha september 2025.
Andaa maji na panadol maumivu yakizidi muone daktari🤣Ile siku utakapo tawazwa kwa kichwa awadhi
 
Kwani we huna mke..au dem
Tafta dem yoyote umkodi hata wikii...atapunguza shobo lasvo mwamba atakutindua anasubir ujae
 
Back
Top Bottom