Mimba ya mwanamke imetokea kunipenda mimi lakini naishi kwa wasiwasi. Naombeni ushauri wenu

Mimba ya mwanamke imetokea kunipenda mimi lakini naishi kwa wasiwasi. Naombeni ushauri wenu

Iko hivi, hapa zipo 4 apartments, yangu ipo Mwanzo kabisa. Huyu mke wa mtu alikuwa analeta mazoea na ikaribu usio na ulazima. Full kunichekea kila akiniona.

Anaweza kurudi na mumewe anaweza kuniita hata usiku anasema amenimiss na jamaa anasikia kabisa.

Fast forward jamaa kampiga mimba, kimbembe sasa demu anaweka kama mimba yake imenipenda mimi. Juzi kaamka saa 8 usiku kaja kunigongea akiwa na mumewe anataka kunihug ndio apate usingizi.

Asubuhi yake kaniamsha kasimama dirishani anaweka mikono kabisa aone ndani.

Sasa hivi imekuwa too much anaweza kutoka ndani akamwacha mumewe anakuja kukaa kwangu.

Kiukweli naogopa jamaa anawaza nini na huyu dada sijawahi mtongoza wala kumtamani coz sinaga moyo ya kula demu naejua analiwa na mtu fulani.

Msaada wadau nafikiria kuhama lakini kodi nimelipa september inaisha september 2025.
Ilimradi tu mawazo mabaya yasikuingie na tamaa, imeshawahi nitokea hiyo, bora wewe anakupa hi, mimi alikuwa hataki kula na mumewe mpaka ale na mimi, kipindi hicho niko bachela anaibuka geto na mboga nipike tule, nikimwambia nimefulia atapigiwa simu mume wake alete hela, nilikuwa muoga namkwepa muda mwingine, mwisho wa siku alijifungua mtoto wa kike, nikaona na ile hali ya mazoea imekata nikamshukuru Mungu
 
FB_IMG_1726682686311.jpg
mumeweee sasaa na huyu dadaa anavyoku zoom
 
Kwani we huna mke..au dem
Tafta dem yoyote umkodi hata wikii...atapunguza shobo lasvo mwamba atakutindua anasubir ujae
Mke ninae alipangiwa kazi mkoa mwingine. Siwezi kodi mdada wengine wanatafuta ndoa unamleta anakuwangia unaoa tena.
 
Kwa akili hizi....
Minaona bora hiki chama kiendelee kutawala tu hadi akili itakapo rejea kwenye kizazi kinacho fuata.
 
Mke ninae alipangiwa kazi mkoa mwingine. Siwezi kodi mdada wengine wanatafuta ndoa unamleta anakuwangia unaoa tena.
Duh kaz unayo..hama week moja ndo urudi labda mimba itakusahau..lasvo mmewe atakupakia mkongo
 
Iko hivi, hapa zipo 4 apartments, yangu ipo Mwanzo kabisa. Huyu mke wa mtu alikuwa analeta mazoea na ikaribu usio na ulazima. Full kunichekea kila akiniona.

Anaweza kurudi na mumewe anaweza kuniita hata usiku anasema amenimiss na jamaa anasikia kabisa.

Fast forward jamaa kampiga mimba, kimbembe sasa demu anaweka kama mimba yake imenipenda mimi. Juzi kaamka saa 8 usiku kaja kunigongea akiwa na mumewe anataka kunihug ndio apate usingizi.

Asubuhi yake kaniamsha kasimama dirishani anaweka mikono kabisa aone ndani.

Sasa hivi imekuwa too much anaweza kutoka ndani akamwacha mumewe anakuja kukaa kwangu.

Kiukweli naogopa jamaa anawaza nini na huyu dada sijawahi mtongoza wala kumtamani coz sinaga moyo ya kula demu naejua analiwa na mtu fulani.

Msaada wadau nafikiria kuhama lakini kodi nimelipa september inaisha september 2025.
jikinge tu kumtongoza
 
Back
Top Bottom